Immortal_MH
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,240
- 2,252
kenge wewe acha kutafuta umaarufu wa kijinga
kwa uandishi huu umeshakosa chuo kama unabisha utaonawana jf et kuna ukweli wowote kuhusu hili maana me nimepokea taarifa kibao et tcu wametoa post leo wakat nikiangalia kwenye profile yangu hakuna ki2 kama hicho.au nyie wadau ebu angalien na nyie
kwa uandishi huu umeshakosa chuo kama unabisha utaona
mkuu mbona kichwa cha habari na maelezo yako haviendani?! Au umekurupuka kutoka usingizini ukaona upost thread bila kufahamu unapost nini..
hilo ni swali..! Au maelezo au taarifa kwa ufup. Mana sijakuelewa. Pia hizo habar aliyekupa ndo ukamwambie akueleweshe vizur. Kama unaweza kuingia JF unashindwa kugugo hizo taarifa tcu. Fikiria kwa makini mada ndo uipost
Jipande upya ili heading na maelezo viendane
Watu wengine wapu..uzi kwelikweli...