TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Hahaha hii thread inanikumbusha mwalimu wangu pale Pugu nilipokuwa nasoma kidato cha 5-6, tulikuwa tunamuita "nyoka" jamaa aliwahi kusema "Degree ni degree hata kama ni yakukata viuno" hahaha

Te te te hata kama ya chupi nayo ni degree, makubwa hayo.
 
sasa TCU kuna watu pale?. Director wa Accredition & Quality Assurance Dr S. Maronga alinifundisha na alikuwa head of department yangu pale UDSM. Hamna kitu kichwan kabisa. waulize waliomaliza mining & moneral process kati ya 2000 na 2010 watakwambia.
 
Nyote We.u tu mnaobishana, kwani mkiajiriwa sehem moja mnatofautiana mshahara? Hacheni mambo ya ki.shenzi. Mpaka sasa mmelisaidiaje taifa na Degree zenu kama si wizi mnafanya?
 
Chuon ulsomea course ya kuevaluate ubora wa degree inayotolewa na vyuo au, mwenyewe nna chuo cha kinachotoa degree ya watu wasio na fikra pevu
 
Chuo kizuri ni kile kinachotowa wahitimu wengu wanaoweza kutengeneza mazingira ya kuajiri watu wengine,hicho ndo chuo,siyo vile ninavyotowa wahitimu wanaorandaranda na vyeti mtahani kusaka ajira.
 
wana jf et kuna ukweli wowote kuhusu hili maana me nimepokea taarifa kibao et tcu wametoa post leo wakat nikiangalia kwenye profile yangu hakuna ki2 kama hicho.au nyie wadau ebu angalien na nyie
 
hilo ni swali..! Au maelezo au taarifa kwa ufup. Mana sijakuelewa. Pia hizo habar aliyekupa ndo ukamwambie akueleweshe vizur. Kama unaweza kuingia JF unashindwa kugugo hizo taarifa tcu. Fikiria kwa makini mada ndo uipost
 
kaMa uNauLiza laBda naweZa KukUjibu kUa kwa MaeLezo zaiD teMbeLeA kWeNye Web ya TCU iLa KaMa ni taariFa tUNASHUKURU kwa kuTujuZa
 
Back
Top Bottom