Unaelewa kinachosemwa hapo???kwa recent info ni udsm kwa east africa.
Mzalendo nina doubt kama unafaham unachokisema. TCU wanasimamia vyuo vikuu na NACTE wanasimamia vyuo vya ufundi kama DIT, IFM, CBE na vya binafsi hadi vile vya mafunzo ya kusuka. Kwahiyo ukisema ni watu wa hovyo hovyo, unamaanisha nini?TCU wana mandate gani na NACTE kisheria?
Nacte naona ni watu wa hovyo hovyo tu!!
Mzalendo nina doubt kama unafaham unachokisema. TCU wanasimamia vyuo vikuu na NACTE wanasimamia vyuo vya ufundi kama DIT, IFM, CBE na vya binafsi hadi vile vya mafunzo ya kusuka.
NACTE
The National Council for Technical Education (NACTE) is a body corporate established by the National Council for Technical Education Act, 1997. The scope of NACTE covers all tertiary education institutions, other than universities and their affiliated colleges, delivering courses at technician, semi-professional and professional levels leading to awards of certificates, diplomas, degrees and other related awards.
TCU
The Tanzania Commission for Universities (TCU) as a body corporate established under the Universities Act, No. 7 of 2005, is mandated to recognize and accredit the countrys university institutions and their programmes; to approve relevant examinations regulations and determine the equivalence and hence recognize awards given by higher education institutions inside and outside Tanzania.
Nacte naijua vizur ila mgeni na tcu. Kiukwel nacte afadhal ya enzi kapuya. Hawana msimamo, elimu imetawaliwa na siasa, utendaji mbovu, mpangilio sio, etc and so on. Take a look masomo kibao alafu kila mwaka module zinabadilika, mfumo alikadharika, mpaka inaboa... Lkn sio kes mana mi mwenyewe ni mwathirika wa nacte.. Kwik.. Kwik.. Natamani kulia. Nadhan wako kifedha zaid. Mtazamo tu jaman..
becs unasema module unabadilikabadilika zaidi ya kwa Tcu. Nakupa kozi moja ktk udsm nawe unipe mfano wa kubadilika kwa moduli ktk vyuo vya ufundi. Naanza na sheria. Faculty of udsm inaongoza kwa kuwa uncertain in modules,ilianza miaka3,ikaongezewa modules ikapigwa miaka5,ikafa soko wakapunguza mpakamiaka4,wakarudi3, sasa iko 4yrs. Adi watoto wanazeekea digrii ya kwanza, wenzao kama mzumbe wanapeta kiulaini. Juzi kitivo icho icho kimeanzisha B.A in Law enforcement for3yrs,ikiwa na module chache na kwenda field half of 2nd year. Sasa kuanzia next year hii kozi itakuwa miaka4 na kuongezwa modules! Sasa compare uncertainty unayotaka kutoka NACTE,na TCU ktk module za kozi yoyote unayotaka kutueleza!
Nimefuatilia maoni ya wadau,lakini mm
1.ninvyofahamu NACTE wanahusika sana na vyuo visivyokuwa vyuo vikuu (non-universities) na TCU wanahusika na Vyuo vikuu (universities).
2.Kuna tofauti ya kimfumo wa usomaji kati ya nacte na tcu
-nacte wanatumia cbet system (competence based education and training)
-tcu wanatumia kbet system (knowledge based education and training)
3.tcu wanasajili freshers hasa kidato cha sita wakati nacte wanaanzia ngazi ya artisan na
kuendlea.
Nafikiri nitakuwa nimetoa mchango mdogo lakini nafikiri utakuwa umesaidia,
MM NI MHANDISI KUTOKA NACTE!