Baada ya ngojangoja ya muda mrefu ss hatimaye majina yametolewa hii leo.Wanafunzi wamepangwa ktk makundi mawili A&B.Kama ckosei ni kundi A tu ndio waliopata mikopo na B wamekosa.Kwa mtazamo wangu camini kabisa kama hawa wa2 hawana vigezo.
Baada ya ngojangoja ya muda mrefu ss hatimaye majina yametolewa hii leo.Wanafunzi wamepangwa ktk makundi mawili A&B.Kama ckosei ni kundi A tu ndio waliopata mikopo na B wamekosa.Kwa mtazamo wangu camini kabisa kama hawa wa2 hawana vigezo.
da hii ndo tanzania mbona tcu na bodi wanatuchanganya eti not a priority mtu ana vigezo vyote da kwa mtindo huu watasoma watoto wa vigogo2 siwezi uza vitu vyote home eti nikasome then ukimaliza unasugua banch bora unakuwa na uhakika wa kazi wataka wote tuwe walimu nani atawahukumu mafisadi?inaniuma sana wana jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.