TCU mbona hamueleweki?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,986
Mimi leo nimelog in kwenye account yangu ya TCU ila ni mekutana na ujumbe ambao kwa kiasi fulani umeniacha na maswali mengi kuliko majibu.Kama walivyokuwa wamesema awali ni kweli registration na application sasa zimefungwa na hali kadhalika sasa hivi huwezi tena kubadilisha selected programe kuanzia leo.Hilo kwangu naona sawa kwani wameongeza muda kiasi cha kutosha.
Cha ajabu na kinachonishangaza ni sehemu ya ujumbe wao kusomeka kwamba bado appllicants wanaweza kuadd form six/four results na hata kuapdate pfofile information zao.Sasa kama watu bado wanaweza kuadd more form four/six results hiyo selection maana yake bado sana kwasababu huwezi kufanya selection wakati bado unaruhusu watu walete matokeo zaidi na cha ajabu zaidi hata deadline ya kuadd haya matokeo hawajaitoa.
Jamani nimeshindwa kuelewa, naomba mnisaidie labda mimi sijui utaratibu.
 
Mimi leo nimelog in kwenye account yangu ya TCU ila ni mekutana na ujumbe ambao kwa kiasi fulani umeniacha na maswali mengi kuliko majibu.Kama walivyokuwa wamesema awali ni kweli registration na application sasa zimefungwa na hali kadhalika sasa hivi huwezi tena kubadilisha selected programe kuanzia leo.Hilo kwangu naona sawa kwani wameongeza muda kiasi cha kutosha.
Cha ajabu na kinachonishangaza ni sehemu ya ujumbe wao kusomeka kwamba bado appllicants wanaweza kuadd form six/four results na hata kuapdate pfofile information zao.Sasa kama watu bado wanaweza kuadd more form four/six results hiyo selection maana yake bado sana kwasababu huwezi kufanya selection wakati bado unaruhusu watu walete matokeo zaidi na cha ajabu zaidi hata deadline ya kuadd haya matokeo hawajaitoa.
Jamani nimeshindwa kuelewa, naomba mnisaidie labda mimi sijui utaratibu.

Usicho kielewa ni nini??
kuna baadhi ya applicants hawana matokeo katika accounts zao na kuna wale walio apeal sasa unataka wakose vyuo au hoja yako ni ipi???
 
Sawa mkuu nimekuelwa inaonekana uko jikoni.Hivi kumbe kuna kuappeal.
 
Sawa mkuu nimekuelwa inaonekana uko jikoni.Hivi kumbe kuna kuappeal.
o

Naungana nawe Salary slip - hiyo ya ku appeal imeniacha hoi - kumbe TCU nao wana ku-appeal nikidhani ni HESLB na NECTA. Una appeal kwa lipi. Na kama umesema dead line ni tarehe fulani huwezi tena fanya lolote unless TCU iseme selection bado sana na watu wanaweza jaza taarifa hizo hadi ifikapo tarehe fulani na sio kuacha tangazo likiwa open ended.
 
o

Naungana nawe Salary slip - hiyo ya ku appeal imeniacha hoi - kumbe TCU nao wana ku-appeal nikidhani ni HESLB na NECTA. Una appeal kwa lipi. Na kama umesema dead line ni tarehe fulani huwezi tena fanya lolote unless TCU iseme selection bado sana na watu wanaweza jaza taarifa hizo hadi ifikapo tarehe fulani na sio kuacha tangazo likiwa open ended.

Nashukuru mkuu kwa kuwa muelewa.Ni mambo ambayo yanachanganya kabisa.
 
Sio kuapeal TCU wakuu ni NECTA kunawatu matokeo.yao ya form six yamebadilika, so hao wanasaidiwaje???
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom