Nilikuwa ofisi za TCU leo zilizopo maeneo ya Mikocheni. Kilichonipeleka ni shida waliopata watoto fulani ambao wapo mkoani wakati wakifanya application kwa ajili ya admission ya vyuo vikuu.
Nilipofika pale mapokezi nikaambiwa chukua form andika tatizo lako. Nikachukua form 2 nikaandika, na baada ya muda akatokea mtu anakusanya hizo form. Baadaye tukaanza kuitwa majina kwa ajili ya kuhudumiwa.
Ikafika zamu yangu nikaingia. Mle ndani kulikuwa na wahudumu wawili (ambao mie nawaita "dogs" utajua kwa nini), mmoja amekaa kwenye kiti ana laptop na pc, mwingine amesimama. Aliyesimama akaniuliza tatizo ni nini? Wakati huo ameshikilia form niliyoijaza ambayo ilikuwa na sehemu ya kuandika kueleza tatizo lililonipeleka. Nikamwambia tatizo limeandikwa hapo halafu nikamwelezea pia.
Baada ya sekunde chache, nikamwambia samahani, nimesubmit form mbili kwa maana sio mimi mwenye tatizo isipokuwa ni watoto fulani wapo mikoani wameniomba niripoti tatizo lao na hii ni mara ya pili nakuja hapa (na ni kweli ilikuwa mara ya pili kuripoti hilo tatizo). Kusema hivyo, jamaa aliyekaa akadakia na kusema hapa hujaja kueleza umekuja mara ngapi! Kwanza wewe ni dalali sisi hatudili na madalali, waambie wanafunzi wenyewe waje!
Nikawaambia jamani hao wanafunzi wako mbali, halafu ukizingatia tatizo ni la system yenu, kwa nini mnataka waingie gharama ya kuja na wakati nimeripoti hili tatizo na hii ni mara ya pili? Basi wakaanza fujo: toka kama hutoki tunakuitia polisi. Nilipatwa na hasira sana nikaamua kutoka.
Nikajiuliza maswali mengi sana mojawapo ni kama hiyo ofisi ni ya mtu binafsi na ana uhuru wa kufanya apendavyo au ni ya serikali?
Sasa naomba kama kuna mtu yeyote anayejua wafanyakazi wa ofisi hiyo ya TCU "computer system administration" anipe majina yao kamili na details zao zingine ili kama tatizo la hao madogo halitashughulikiwa na kupelekea application zao kutoprocessiwa niwashtaki au nideal nao ninavyojua mimi.
Wale wahudumu mie kwa kweli nawaona kama mbwa, kwa tabia yao mbovu achilia mbali uwezo wao mdogo wa kufikiri na kufanya kazi. Isingekuwa ofisini kwao kuna uwezekano mkubwa ningeingia hatia kwa kupiga mtu, maana hii nchi inachosha hata ukilalamika husikilizwi.
TCU siitaki hawana uwezo wa kufanya kazi. Internet-based system yao ya application ni mbovu na hawana utaalamu wamelazimisha tu project ili watengeneze hela hali wakijua hawawezi. Nenda hapo ujionee lundo la watu wanaoripoti matatizo yaleyale kila siku lakini hayatatuliwi.
Mwisho ikitokea watu wanaandamana sasa hivi ili TCU ifutwe mie nitakuwa mmoja wao.
Please nipeni majina na details za hao mbweha.
Nilipofika pale mapokezi nikaambiwa chukua form andika tatizo lako. Nikachukua form 2 nikaandika, na baada ya muda akatokea mtu anakusanya hizo form. Baadaye tukaanza kuitwa majina kwa ajili ya kuhudumiwa.
Ikafika zamu yangu nikaingia. Mle ndani kulikuwa na wahudumu wawili (ambao mie nawaita "dogs" utajua kwa nini), mmoja amekaa kwenye kiti ana laptop na pc, mwingine amesimama. Aliyesimama akaniuliza tatizo ni nini? Wakati huo ameshikilia form niliyoijaza ambayo ilikuwa na sehemu ya kuandika kueleza tatizo lililonipeleka. Nikamwambia tatizo limeandikwa hapo halafu nikamwelezea pia.
Baada ya sekunde chache, nikamwambia samahani, nimesubmit form mbili kwa maana sio mimi mwenye tatizo isipokuwa ni watoto fulani wapo mikoani wameniomba niripoti tatizo lao na hii ni mara ya pili nakuja hapa (na ni kweli ilikuwa mara ya pili kuripoti hilo tatizo). Kusema hivyo, jamaa aliyekaa akadakia na kusema hapa hujaja kueleza umekuja mara ngapi! Kwanza wewe ni dalali sisi hatudili na madalali, waambie wanafunzi wenyewe waje!
Nikawaambia jamani hao wanafunzi wako mbali, halafu ukizingatia tatizo ni la system yenu, kwa nini mnataka waingie gharama ya kuja na wakati nimeripoti hili tatizo na hii ni mara ya pili? Basi wakaanza fujo: toka kama hutoki tunakuitia polisi. Nilipatwa na hasira sana nikaamua kutoka.
Nikajiuliza maswali mengi sana mojawapo ni kama hiyo ofisi ni ya mtu binafsi na ana uhuru wa kufanya apendavyo au ni ya serikali?
Sasa naomba kama kuna mtu yeyote anayejua wafanyakazi wa ofisi hiyo ya TCU "computer system administration" anipe majina yao kamili na details zao zingine ili kama tatizo la hao madogo halitashughulikiwa na kupelekea application zao kutoprocessiwa niwashtaki au nideal nao ninavyojua mimi.
Wale wahudumu mie kwa kweli nawaona kama mbwa, kwa tabia yao mbovu achilia mbali uwezo wao mdogo wa kufikiri na kufanya kazi. Isingekuwa ofisini kwao kuna uwezekano mkubwa ningeingia hatia kwa kupiga mtu, maana hii nchi inachosha hata ukilalamika husikilizwi.
TCU siitaki hawana uwezo wa kufanya kazi. Internet-based system yao ya application ni mbovu na hawana utaalamu wamelazimisha tu project ili watengeneze hela hali wakijua hawawezi. Nenda hapo ujionee lundo la watu wanaoripoti matatizo yaleyale kila siku lakini hayatatuliwi.
Mwisho ikitokea watu wanaandamana sasa hivi ili TCU ifutwe mie nitakuwa mmoja wao.
Please nipeni majina na details za hao mbweha.