Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Wakuu habari za usiku?
Kuna habari kutoka SUA zinansema wale vijana waliochaguliwa kozi ya Bsc Agricutural Education leo wamebadilishiwa kozi. Wameambiwa wasome Bsc Education (Agriculture and Biology).
Sasa tatizo wanafunzi wengine wanasema hawana msingi wa Biology (kuna waliochaguliwa kwa masomo ya Physics, Geography and Mathematics, Economics, Geography and Mathematics). Wanasema somo la biology litawasumbua maana hata katika kozi ya Bsc Agricutural education biology haikuwamo.
Walikuwa wanomba ushauri wangu lakini kwa kuwa kuna jukwaa la great thinkers nikaona nilete kwenu wapate ushauri toka jukwaa moja kwa moja.
Kuna habari kutoka SUA zinansema wale vijana waliochaguliwa kozi ya Bsc Agricutural Education leo wamebadilishiwa kozi. Wameambiwa wasome Bsc Education (Agriculture and Biology).
Sasa tatizo wanafunzi wengine wanasema hawana msingi wa Biology (kuna waliochaguliwa kwa masomo ya Physics, Geography and Mathematics, Economics, Geography and Mathematics). Wanasema somo la biology litawasumbua maana hata katika kozi ya Bsc Agricutural education biology haikuwamo.
Walikuwa wanomba ushauri wangu lakini kwa kuwa kuna jukwaa la great thinkers nikaona nilete kwenu wapate ushauri toka jukwaa moja kwa moja.