Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Hadi sasa serikali na kitengo
chakudhibiti mawasiliano
hawajatuweka bayana juu ya
hivi ving'amuzi.Hadi sasa kuna
makampuni zaidi ya moja
yanayotoa huduma ya ving'amuzi hadisasa.
Startimes imekuwa
ikilalamikiwa na wadau kwa
huduma mbovu na wakati
huohuo kasi ya kueneza
ving'amuzi nchi nzima ikiwa sio nzuri,kwani kipaumbele
kimetolewa kwa mikoa
ambayo tangu mwanzo
mfumo wa analog ulifanya
kazi vizuri tofauti na mikoa
mingine mfano ni Shinyanga,Mara na Kigoma
ambako mtu analazimika
kuwa na dish ili kupata
matangazo.
Shida iliyopo kwasasa ni
ving'amuzi vilivyopo kutokuwa na chaneli zote za
ndani,hivyo kama kampuni za
matangazo zitaamua kila moja
kuja na king'amuzi chake
itakuwa hatari kwani itambidi
mtu kuwa na king'amuzi zaidi ya kimoja mezani ili apate
chaneli zote za ndani.
Mashindano ya ving'amuzi
yawe kwenye premium
chanels tu,yani zile chaneli za
kulipia tu,lakini ving'amuzi vyote viwe na chaneli za ndani
na zote ziwe bure.
TCRA iwe makini ili
kuepusha lundo la ving'amuzi
majumbani na maofisini,pia
TCRA itazame gharama za ving'amuzi kwa malipo ya
mwezi ili watu wa hali za
chini nao wanufaike.
chakudhibiti mawasiliano
hawajatuweka bayana juu ya
hivi ving'amuzi.Hadi sasa kuna
makampuni zaidi ya moja
yanayotoa huduma ya ving'amuzi hadisasa.
Startimes imekuwa
ikilalamikiwa na wadau kwa
huduma mbovu na wakati
huohuo kasi ya kueneza
ving'amuzi nchi nzima ikiwa sio nzuri,kwani kipaumbele
kimetolewa kwa mikoa
ambayo tangu mwanzo
mfumo wa analog ulifanya
kazi vizuri tofauti na mikoa
mingine mfano ni Shinyanga,Mara na Kigoma
ambako mtu analazimika
kuwa na dish ili kupata
matangazo.
Shida iliyopo kwasasa ni
ving'amuzi vilivyopo kutokuwa na chaneli zote za
ndani,hivyo kama kampuni za
matangazo zitaamua kila moja
kuja na king'amuzi chake
itakuwa hatari kwani itambidi
mtu kuwa na king'amuzi zaidi ya kimoja mezani ili apate
chaneli zote za ndani.
Mashindano ya ving'amuzi
yawe kwenye premium
chanels tu,yani zile chaneli za
kulipia tu,lakini ving'amuzi vyote viwe na chaneli za ndani
na zote ziwe bure.
TCRA iwe makini ili
kuepusha lundo la ving'amuzi
majumbani na maofisini,pia
TCRA itazame gharama za ving'amuzi kwa malipo ya
mwezi ili watu wa hali za
chini nao wanufaike.