makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Baada ya Mbunge wa CCM Bwana Mwigulu Nchemba kutoa tuhuma nzito Bungeni kuwa ametishiwa maisha na Wabunge wa CHADEMA kwa njia ya SMS kupitia simu za mkononi imebainika kuwa SMS hizo ni za kughushi kupitia mfumo wa Mawasiliano wa SMSGang. Inasikitisha kuwa mpaka sasa Tume ya Mawasiliano(TCRA) ambao ni wadhibiti wa mifumo yote ya Mawasiliano wamekaa kimya!!!
Mfumo wa SMSGang ni mtandao ambao mtu anaweza akatuma SMS kwenda namba yoyote ya simu ya mkononi bila kujulikana kwa vile anaweza kuandika namba bandia kwenye sehemu ya KUTOKA(From kama inavyoonyesha hapa chini:
Spoof SMS Service. Send anonymous SMS from any number or name
To send web SMS fill form below!
Make surprise send fun SMS or jokes for your love
reset
SMSGang.com is a SMS spoofing service that you can use to send anonymous SMS jokes and spoof text messages to your friends worldwide. To spoof means to appear from somewhere or someone else than the original number. When you use SMSGang.com receiver won't understand that text message is fake and sent online. Basically to send spoof sms by GSM standard you can use up to 11 alphabetical characters or up to 15 numeric characters.
Feel free yo use our anonymous SMS jokes database for spoofing, but don't send illegal text messages, we keep all informaton about you.
Tags: sms text, anonymous sms, dirty sms, sms sender, sms spoofing, sms to any mumber, flirt sms messages
Hi there!
SMS Text Examples
SMS From: Sniper
Text: Please take one step to the left.
I dont see you!
(Category: Best SMS messages)
SMS From: Girlfriend
Text:I know you think I'm cute, I know you think I'm fine, but like the other guys, take a number and wait in line!
(Category: Flirt SMS messages)
SMS From: Boyfriend
Text: Please buy toilet paper and come home immediately!
(Category: Dirty SMS jokes)
TCRA wanatakiwa watoe maelezo ya kina kuhusu habari hizi za kupotosha Watanzania kwa kutumia mifumo ambayo inaweza kuhatarisha amani ya nchi na Watanzania wote kwa ujumla. Kama TCRA wataendelea kulinyamazia tatizo hili basi Watanzania tutajua kuwa TCRA wako kwa ajili ya kulinda Serikali ya CCM ambayo kwa kuwatumia viongozi wake wanaweza kutumia mifumo ya Mawasiliano kwa maslahi yao wenyewe.
Mimi naamini kabisa kuwa TCRA wana taarifa hizi na wanajua kinachoendelea nyuma ya pazia unless watuambie kuwa hawana wataalamu wenye weledi wa kugundua upuuzi huu unaofanya na kina Mwigulu Nchemba na Nnape Nauye.Kitu ambacho si kweli hata kidogo.
TCRA wamekuwa ni kama kichaka cha kuficha madhambi na maovu yanayofanywa na mifumo mbalimbali ya mawasiliano nchini yakiwemo Makampuni ya simu za mikononi(Mobile operators) ambayo huwa yanawakamua Watanzania kwa gharama kubwa za kupiga simu,kutuma sms na internet. Pia makampuni haya yamekuwa yakiwasumbua Watumiaji wa simu za mikononi kwa kuwatumia SMS ambazo hazina lazima(garbage sms) ambazo huleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji lakini TCRA wakiwa hawafanyi lolote.
Tunaomba TCRA wafanye kazi zao kwa weledi ikiwemo kufuatilia hizi SMS za Mwigulu Nchemba kujua zilitumwa saa ngapi,toka simu gani na ya mtandao upi. Watu tunajua kuwa hakuna simu yoyote inaweza kutuma/kupokea SMS au kupigiwa/kupiga halafu isiweke kumbumbuku kwenye mitambo mama(BASE Station) au MSC(Mobile Switching Centre)ambayo inapatikana kwenye kila kampuni inayofanya biashara ya simu ziwe za mkononi au za mezani. Kinachotakia ni Wataaalmu wa TCRA wakishirikiana na Wahandisi(IT/Telecommunication Engineers) wa Kampuni husika ku-retrieve/trace history kwenye Data base yake kupata hizo kumbukumbu ili kujua ukweli wa sakata hili na hatimaye kukomesha kabisa huu ujinga.
Nawasilisha
Mfumo wa SMSGang ni mtandao ambao mtu anaweza akatuma SMS kwenda namba yoyote ya simu ya mkononi bila kujulikana kwa vile anaweza kuandika namba bandia kwenye sehemu ya KUTOKA(From kama inavyoonyesha hapa chini:
Spoof SMS Service. Send anonymous SMS from any number or name
To send web SMS fill form below!
Make surprise send fun SMS or jokes for your love
SMS To: | |
From: | |
Pincode: | |
Text Message: Non-English characters? Send SMS in Unicode (70 symbols) | 160 symbols left 70 symbols left |
SMSGang.com is a SMS spoofing service that you can use to send anonymous SMS jokes and spoof text messages to your friends worldwide. To spoof means to appear from somewhere or someone else than the original number. When you use SMSGang.com receiver won't understand that text message is fake and sent online. Basically to send spoof sms by GSM standard you can use up to 11 alphabetical characters or up to 15 numeric characters.
Feel free yo use our anonymous SMS jokes database for spoofing, but don't send illegal text messages, we keep all informaton about you.
Tags: sms text, anonymous sms, dirty sms, sms sender, sms spoofing, sms to any mumber, flirt sms messages
Hi there!
You are from Tanzania, United Republic of |
|
You can send SMS to Tanzania, United Republic of |
SMS Text Examples
SMS From: Sniper
Text: Please take one step to the left.
I dont see you!
(Category: Best SMS messages)
SMS From: Girlfriend
Text:I know you think I'm cute, I know you think I'm fine, but like the other guys, take a number and wait in line!
(Category: Flirt SMS messages)
SMS From: Boyfriend
Text: Please buy toilet paper and come home immediately!
(Category: Dirty SMS jokes)
TCRA wanatakiwa watoe maelezo ya kina kuhusu habari hizi za kupotosha Watanzania kwa kutumia mifumo ambayo inaweza kuhatarisha amani ya nchi na Watanzania wote kwa ujumla. Kama TCRA wataendelea kulinyamazia tatizo hili basi Watanzania tutajua kuwa TCRA wako kwa ajili ya kulinda Serikali ya CCM ambayo kwa kuwatumia viongozi wake wanaweza kutumia mifumo ya Mawasiliano kwa maslahi yao wenyewe.
Mimi naamini kabisa kuwa TCRA wana taarifa hizi na wanajua kinachoendelea nyuma ya pazia unless watuambie kuwa hawana wataalamu wenye weledi wa kugundua upuuzi huu unaofanya na kina Mwigulu Nchemba na Nnape Nauye.Kitu ambacho si kweli hata kidogo.
TCRA wamekuwa ni kama kichaka cha kuficha madhambi na maovu yanayofanywa na mifumo mbalimbali ya mawasiliano nchini yakiwemo Makampuni ya simu za mikononi(Mobile operators) ambayo huwa yanawakamua Watanzania kwa gharama kubwa za kupiga simu,kutuma sms na internet. Pia makampuni haya yamekuwa yakiwasumbua Watumiaji wa simu za mikononi kwa kuwatumia SMS ambazo hazina lazima(garbage sms) ambazo huleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji lakini TCRA wakiwa hawafanyi lolote.
Tunaomba TCRA wafanye kazi zao kwa weledi ikiwemo kufuatilia hizi SMS za Mwigulu Nchemba kujua zilitumwa saa ngapi,toka simu gani na ya mtandao upi. Watu tunajua kuwa hakuna simu yoyote inaweza kutuma/kupokea SMS au kupigiwa/kupiga halafu isiweke kumbumbuku kwenye mitambo mama(BASE Station) au MSC(Mobile Switching Centre)ambayo inapatikana kwenye kila kampuni inayofanya biashara ya simu ziwe za mkononi au za mezani. Kinachotakia ni Wataaalmu wa TCRA wakishirikiana na Wahandisi(IT/Telecommunication Engineers) wa Kampuni husika ku-retrieve/trace history kwenye Data base yake kupata hizo kumbukumbu ili kujua ukweli wa sakata hili na hatimaye kukomesha kabisa huu ujinga.
Nawasilisha