TCRA: Kutoa taarifa za siri za mawasiliano ni kosa la jinai

Mwanahalisi hawakukosea walichofanya, kama kova angekuwa ameyafanya kabla. Lakini kama unaona mtu anaficha ukweli makusudi kwa kujifanya hajui namna ya kufanya lazima umuonesha kazi... kufungiwa kwa mwana halisi inaonesha moja kwa moja serikali ina husika na swala hili...

Kama chadema ndiyo wangekuwa wanahusijka na mwana hasili wakatoa kitu kama hicho leo kubenea angekua ikulu anapewa zawadi kama gazeti makini la kiuchunguzi. Amani usiamin taifa lina kwenda ukingoni, tunakwenda kuchambua tulichokuwa tunavuna
 
kumbeeee? ila habari ile ilikuwa ya ukweli sio?

Smile,
Sheria inakataza kuingilia privacy huwezi kunianika kwenye gazeti lako mfano Ritz mwenye namba za simu 0244 888777 ni mtuhumiwa wa pili alihishiwa salio saa 9 usiku.
 
Last edited by a moderator:
Mnaonekana jinsi mlivyo wanafiki na wazandiki wakubwa....mnajua jinsi serikali ilivyofanya juhudi kubwa kuficha uovu,dhambi na dhuruma dhidi ya madaktari na hususani ulimboka.

Kova amejikanyaga kanyaga kutuletea mtuhumiwa feki. Bado tu mnataka namba za simu zifichwe? Ili kumlinda nani? Wanachokifanya serikali kumngo'a mtu meno na kucha akiwa hai, kuudanganya umma, sio kuvunja sheria?
 
Hicho ndio kimefanya Mwanahalisi lifungiwe sio haki kuingilia uhuru wa mtu hata kwenye katiba yetu inakataza pitia kifungu cha 30 cha katiba kinachoweka ukomo wa uhuru wa habari, hakuna uhuru usiokuwa na mipaka.

usipotoshe watu sicho kilicho fanya mwanahalisi kufungiwa.

Ukweli kuhusu ulimboka ndio umewaumiza wahusika hasa Ramadhani mwanahalisi wanastahili pongezi.
 
CDM ndo vinara wa kuhonga kutafuta umbeya dawa yao ni kuwashtaki kampuni na CDM na mabwege wengine mtaani wanaoishi kwa kufuatlia cm za watu na kuwatishia na kutaft ujiko kuonekana baabkubwa ili waogopwe yaani kama majingajinga tu yanaishi kwa kupumulia taarifa za simu mazafanta

kwani huwezi kuchangia bila jazba na matusi mkuu?
 
Haya makampuni kutoa taarifa binafsi za watu na kuzichapisha kwenye magazeti,hili limekaaje wakuu????
Kuna watu wakituhumiwa huwa wanarukia kudai "ushahidi"....sasa ushahidi umetolewa, wadai kuingiliwa privacy zao! Si walikataa kuwa serikali haihusiki na mpaka wamempeleka 'mkenya' mahakamani! Ni vema MH 'amewavua nguo' kabisa pamoja na kumfungia. Na wakiendelea kukanusha kijinga jinga zitatolewa mpaka sms walizokuwa wanatumiana!
Mphewwww!:deadhorse:
 
Kuna watu wakituhumiwa huwa wanarukia kudai "ushahidi"....sasa ushahidi umetolewa, wadai kuingiliwa privacy zao! Mphewwww!:deadhorse:

kweli ni jibu zuri sana kwanza wameisaidia polisi na kama wanapinga wapeleke mashitaka mahakamani.
 
Ritz wewe ndiyo msemaji wa serikali siku hizi?Mbona hizo sababu ulizozisema hazifanani na ambazo wamezitoa waliofungia mwanahalisi.Mbona wahusika hawajamfungulia mashitaka kubenea hata kwenda public kukanusha......Mumefulia.....:A S-baby:

Nakubaliana na wewe Mkuu... jambo la Msingi ni kukanusha hii kitu with evidence sio mabavu...wenye akili wameshaelewa....

View attachment MwanaHalisi.doc
 
Smile,
Sheria inakataza kuingilia privacy huwezi kunianika kwenye gazeti lako mfano Ritz mwenye namba za simu 0244 888777 ni mtuhumiwa wa pili alihishiwa salio saa 9 usiku.
ahahaaa no no alizowasilana nazo just imagine ni kiburudisho chake ambacho ni mke wa mtu ...loh hii nchi usalama sifuri
 
Halisi Mnabana miguu wakati mpira umeshapita......... Dida unachezea Kiiza weweeeeeeeeeeee:loco:
 
Last edited by a moderator:
Ritz wewe ndiyo msemaji wa serikali siku hizi?Mbona hizo sababu ulizozisema hazifanani na ambazo wamezitoa waliofungia mwanahalisi.Mbona wahusika hawajamfungulia mashitaka kubenea hata kwenda public kukanusha......Mumefulia.....:A S-baby:

Mkuu kwa hiyo wewe ndio msemaji wa Mwanahalisi...nadhani hujui kwa nini Mwanahalisi limefungia na serikali...pitia upya taarifa ya serikali utakutana na kifungu cha 30 cha katiba, kinachoweka ukomo wa uhuru wa habari.
 
Kile ni kibanzi kile na kimewaingia jichoni, lazima wahangaike nacho
 
Kukusanya taarifa kupitia makampuni ya simu wala sio kazi ngumu ni rahisi sana ni kuwahonga tu watu wa IT hata Chadema wakati wa uchaguzi wa Bavicha walitumia hii mbinu kutoa taarifa za kina Habib kutumiana fedha kwa M-Pesa.

Kwahiyo rushwa ndio chanzo cha matatizo yote yanayotuzunguka maana kila mtu anaangalia atatokaje. But all in all, how did newspaper get all those names, mobile numbers before kick-backing the telecom guys for more details? Is it not an inside job in one way or the other?
 
kweli ni jibu zuri sana kwanza wameisaidia polisi na kama wanapinga wapeleke mashitaka mahakamani.

Kwani hujui tunaendeshaje mambo? I think tatizo ni kuweka siri hadharani kwa style ambayo hakuna aliyetegemea ingekuwa hivyo. Nchi hii kuna wakati ni kama vyombo husika vinachagua ni kosa la aina gani la kushughulikia na kosa lipi la kufumbia macho.
 
Taarifa hiii imetoka baada ya mipango ya kutaka kulifunga gazeti la mwanahalisi lilipotoa taarifa za aliyehusika kumteka DR Ulimboka. Hii ni nzuri lakini lipite kwa wote
 
Sijawahi kuona mhalifu akigundulika badala ya kuwajibika kwa maovu yake yeye analilia kupewa haki ya 'privacy'.
 
Ni kuhalalisha Kufungia mwanahalisi? ni utoto, kama MwanaHalisi wamevunja sheria kutuhabarisha watanzania juu ya maovu ya ccm na tawi lao la pale Kijitonyama, habari juu ya matumizi ya ile hifadhi ya msitu ya Mabwepande, habari za uhakika juu ya wezi wa rasilimali za Taifa, uchotaji wa pesa toka benki kuu kufanyia kampeni za ccm mwaka 2005 kupitia kagoda na mengine mengi, waende tu mahakamani wakaumbiliwe zaidi huko.

Vinginevyo tuhuma za kuhusika kwa usalama wa Taifa katika matukio ya utekaji raia zitazidi kuonekana zaidi katika ukweli wake na hazitafutika katika mioyo ya Watz ambao ndo waathirika wa dhuluma hizi!
 
Ni baada ya kupata usumbufu,kupigiwa simu za vitisho na faragha zao kuwekwa hadharani na gazeti la mwanahalisi, sani,mitandao ya kijamii na vyombo vya habari.mchakato wa kufungua kesi mahakamani umeshaanza na wataidai kampuni hiyo mamilioni ya shilingi. Chanzo ni gazeti la changamoto la jumanne tar.31 july 2012.
 
Back
Top Bottom