Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
JK alipokashfiwa na mtandao wa Ze Utamu ulifungiwa mara moja na TCRA. Slaa anapokashfiwa anaambiwa aende polisi. JK alipopigwa mawe huko Mbeya wapiga mawe walidakwa haraka sana, lakini Mtikila alipopigwa mawe Tarime hakuna kilichofanyika! Anyway, "all animals are equal but there are those who are more equal than others!"