Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Ndugu wapendwa
Kwako mama MUNYAGI kila mtu anathamani kazi yako uchapakazi wako na uadilifu wako
lakini pengine hili yawezxekana ulijui ama kuna wachafuzi hapo TCAA wanakuchafulia kazi
zako.
Kuna chuo kinajiita TANZANIA AVIATION TRAINING COLLEGE Kipo hapo Tazara
mpendwa mama Munyagi chuo hiki kinatoa elimu ya mambo ya ndege na kina miaka zaidi ya miwili sasa
kwa masikitiko makubwa chuo hiki akijasajaliwa na NECTA wala TCAA kuwapitisha kama chuo.
Cha ajabu wanafunzi wengi wametoka huku wamekuwa wakipata license ya FOO na nyingine nyingi hapo kwako TCAA. Je huu ndio muamko wa TCAA kuwapasisha watu wasiosajiliwa.
Kibaya zaidi chuo hiki wanatoza in dollars ..eg ffo course usd 3000 wakati viko vingi airport ..na kibaya zaidi mwenye chuo amekuwa akiwataka wahitimu kimapenzi na kuahidi kutowapa vyeti vyao mpaka wafanye nao mapenzi.
Nafikiri huu si ustaarabu na malalamikomhaya yametolewa hapo kwako nakuishia kwenye makabati huku wengine wakipigwa mikwara watanyanganywa leseni walizopata na baadhi ya wafaanyakazi wako...nafikiri ni muhimu tuwe makini kuliko kuangalia fedha kwanza ...walipofwatilia TCAA wakakuta awajasajiliwa na walipoulizwa kwa nini ameruhusiwa kutoa vyeti na kufundisha wakadai ameonyesha interes ya kujisajili
najua kila mtu anakula jikoni mwake lakini tunaomba hivi vyuo vifuatiliwe mtatoa watu warusha ndege wakaishia kumwaga ndege zetu KIPAWA afashali hata wameamishwa sasa hivi.
Dear mama ni masikitiko yangu hivi sasa jamaa wamebadika jina la TANZANIA AVIATION UNIVERSITY COLLEGE je TSU mnajua hili tunaomba tuwe serious na kazi za watu ...na je ni sheria gani kufwata mhitimiu ukifaulu na ukakatiliwa cheti kisa kutoa %^&^^&*???msaada tafadhali
Kwako mama MUNYAGI kila mtu anathamani kazi yako uchapakazi wako na uadilifu wako
lakini pengine hili yawezxekana ulijui ama kuna wachafuzi hapo TCAA wanakuchafulia kazi
zako.
Kuna chuo kinajiita TANZANIA AVIATION TRAINING COLLEGE Kipo hapo Tazara
mpendwa mama Munyagi chuo hiki kinatoa elimu ya mambo ya ndege na kina miaka zaidi ya miwili sasa
kwa masikitiko makubwa chuo hiki akijasajaliwa na NECTA wala TCAA kuwapitisha kama chuo.
Cha ajabu wanafunzi wengi wametoka huku wamekuwa wakipata license ya FOO na nyingine nyingi hapo kwako TCAA. Je huu ndio muamko wa TCAA kuwapasisha watu wasiosajiliwa.
Kibaya zaidi chuo hiki wanatoza in dollars ..eg ffo course usd 3000 wakati viko vingi airport ..na kibaya zaidi mwenye chuo amekuwa akiwataka wahitimu kimapenzi na kuahidi kutowapa vyeti vyao mpaka wafanye nao mapenzi.
Nafikiri huu si ustaarabu na malalamikomhaya yametolewa hapo kwako nakuishia kwenye makabati huku wengine wakipigwa mikwara watanyanganywa leseni walizopata na baadhi ya wafaanyakazi wako...nafikiri ni muhimu tuwe makini kuliko kuangalia fedha kwanza ...walipofwatilia TCAA wakakuta awajasajiliwa na walipoulizwa kwa nini ameruhusiwa kutoa vyeti na kufundisha wakadai ameonyesha interes ya kujisajili
najua kila mtu anakula jikoni mwake lakini tunaomba hivi vyuo vifuatiliwe mtatoa watu warusha ndege wakaishia kumwaga ndege zetu KIPAWA afashali hata wameamishwa sasa hivi.
Dear mama ni masikitiko yangu hivi sasa jamaa wamebadika jina la TANZANIA AVIATION UNIVERSITY COLLEGE je TSU mnajua hili tunaomba tuwe serious na kazi za watu ...na je ni sheria gani kufwata mhitimiu ukifaulu na ukakatiliwa cheti kisa kutoa %^&^^&*???msaada tafadhali