EVIDENCE No 2 certificate No 17810 vehicle reg; T132TTW
Yafuatayo ni madudu ya pili kama nilivyowaahidi.
Kama kawaida hivi vyeti navyo nilivinunua na magari niliyoyanunulia vyeti ndio haya hapa. Hili gari hata ukiletengeneza vipi halitaweza kuwa tena barabarani lakini WTM alitoa cheti haraka sana na kudai hela yake ilipwe kwenye akaunti yake mara moja. nilifanya kama alivyoamuru na nikapatiwa cheti bila matatizo.
Hivi kweli serikali itafumbia macho madudu kama haya mpaka lini
Kwa nini TBS wanaruhusu madudu kama haya kuendelea pamoja na vielelezo vyote hivi
MIE NADHANI ALIETOA CHETI NI KIPOFU HIVYO ALIGUSISHWA GARI JINGINE AKAZANI NDIO HILI (kwa sababu haoni)
Mie sidhani kama kuna ushahidi uliokamilika kama huu
Kama nilivyosema mwanzo.
Vyeti original ninavyo
Magari haya mabovu yapo ,
Ushahidi wa malipo upo
Email za kuombea hivi zipo.
Ushahidi wa video upo
Mpiga picha ambaye ndio mimi nipo na nipo tayari kujitokeza popote kutoa ushahidi kwa gharama zangu mwenyewe.
NIKO FREE KUJIBU MASWALI YA POLISI, BUNGE , TAKUKURU AUCHOMBO CHOCHOTE CHA KISHERIA
Mwenye kutaka contacts zangu Nitampatia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.