TBS kwenye kashfa nzito makampuni hewa nje ya nchi

Kuna mambo mengi sana nchi hii ambayo hayako sawa..na ndio maana ukijjiuliza sana huwezi kushangaa na takwimu zinazotolewa kuwa nchi maskini na ombaomba zaidi duniani yenye rasilimali kibao..
kila sehemu matatizo tena yanayoweza kuepukika lakin kwa vile tunachumia tumbo basi hakuna wa kumfunga paka kengele tuchukulie mifano michache:

  • Ukienda maliasili ni kichefuchefu mpaka wanyama wa hadhi ya Twiga wanaibiwa achilia mbali mambo ya vitalu na nk
  • Ukienda nisharti na madini ni balaa zaidi kuanzia mikataba ya madini,nishati ya umeme mambo ambayo yanazidi kudidimiza uchumi
  • Ukienda nyumba na maendeleo ya makazi hali mbaya hakuna mfano haijulikani kama sehemu unayoishi ni salama maana panawez kubadilishwa matumizi muda wowote au kuuzwa kwa wenye pesa
  • Takukuru nako si pa kukimbilia
  • Mahakama utata mtupu
  • Ukienda mawasilianao na uchukuzi ni vumbi tu linatimka kuanzia masuala ya bandari na kampuni zinazotoa huduma mpaka ufikie reli na mikataba yake pamoja na miundombinu ni hali ya kukatisha tamaa, usafiri suala ambalo ni nyeti sana kwa uchumi wa nchi halithaminiwi.
  • Ukija wizara ya afya, elimu na nyingine nyingi tu mpaka sasa TBS wazee wa viwango unafikiri kuna kutoka hapo?
nchi hii inatakiwa kufanyiwa OVERHAUL kama ni gari limekwisha bila OVERHAUL tunaelekea shimoni..
 
ekelege%20tbs.jpg

Mkurugenzi Mkuu (TBS), Charles Ekelege

Watu wengine hawana hata dhamiri, amekubali kuongoza ujumbe wa wabunge kwenda nchi za nje huku akijua kwa hakika ni makampuni hewa akiwa na dhamira kwamba ile bahasha ya kaki itafanya kazi kama inavyofanya kazi kwa waandishi wa habari.

Halafu mtu mwenyewe anaonekana mzee mwenye taadhima vile hata huwezi kuamini kwa yanayojilia, ukiona hali hata mtu kama huyu anafanya hivyo ujue hali ni kama Mzee Mwinyi alivyosema nyumba imebaki kama mti mkubwa wa msonobari unaonekana umesitawi lakini ndani ni pango tu, nje tu ndiko kunakotusitiri.
 
Hapo ndio unajiuliza PCCB na Usalama wa taifa miaka 10 tunaibiwa wao wanafanya kazi gani ! Ama wao kazi yao ni kumlinda m.kwere na mafisadi kila El n Rostadam...!
 
Rais Konte jana akiwa huko Davos, amesema tatizo kubwa linalozikabili nchi za Africa, ni kwamba viongozi wanapigania madaraka ili kujinufaisha,madala ya kupigania wananchi wao wa Africa wapate maendeleo yao. Nimeipenda sana hii..... Msishtuke mkiona akina Ekelege wanafanya hivyo kwa miaka karibu 10 sasa na hakuna kinachotokea.
 
Panapofuka moshi pana moto - kutumiwa uzeeni nako ni noma!!!! Mzee wa TBS hiyo inaitwa "uchimung'unye, uchimeje wala uchiteme"
 
Huyo mkurugenzi alipohojiwa na waandishi wa habari jana TBC1 alogoma kutoa majibu hadi jumatatu. Swali la msingi mpaka yote haya yanafanyika miaka kwa miaka watu wa TISS wako wapi jamani. Bila ya shaka hii ni dili ya mafisadi. Kweli watanzania ni watu wajinga sana duniani na kwa mtindo huu katu hatutapata heshima duniani zaidi ya ujinga.

Kwani ni kazi ya TISS kukamata wezi? mimi nijuavyo ni kazi ya polisi tena kwa kesi hii inabidi interpol wahusishwe. Ndio maana tunapendekeza madaraka ya Rais yapunguzwe. Akiteua wakurugenzi kamati za kisekta zithibitishe uteuzi huo, legho ni kumsaidia Rais.
 
Huyu Ikerege ni seneta wa Yanga hana uwezo wa kuliongoza shirika husika likaleta tija
 
Kweli Tz ni maiti inayotembea,Kamati piteni na TFDA na GMP yao maana madawa feki yemezidi.
 
Hawa wabunge wengine ni kiboko, nasikia Mh. Lugora alimkata vibao viwili vya uso Mh. Ekelege, alipoona wanadanganywa kitoto huko Hong Kong
 
naanza kuhisi ule uvumi wa kuuziwa samaki wenye mionzi kuna kajiukweli! Loh

wapi nikadai hela yangu ya Jaai? Na zile stika nk wanazotuma wanatoa wapi?
 
hawa wabunge wengine ni kiboko, nasikia mh. Lugora alimkata vibao viwili vya uso mh. Ekelege, alipoona wanadanganywa kitoto huko hong kong

safiiiii
angemalizia na mtama
mpuuzi kabisa,
kato watu toka
hapa mpaka huko
hongkon akijua
waz hakuna lolote
wameharibi pesa
zetu!nyambaf kabisa
 
Kwani ni kazi ya TISS kukamata wezi? mimi nijuavyo ni kazi ya polisi tena kwa kesi hii inabidi interpol wahusishwe. Ndio maana tunapendekeza madaraka ya Rais yapunguzwe. Akiteua wakurugenzi kamati za kisekta zithibitishe uteuzi huo, legho ni kumsaidia Rais.

Kazi kubwa ya TISS ni kufahamu jambo baya lolote hasa linalohatarisha maslahi ya taifa na kulizuia au kama ikishindaka kuzuia basi ni kutambua uwepo wa tukio hilo kwa usahihi. Hivyo ina maana watu wa TISS wameshindwa kugundua uchafu huo kwa 10yrs, kwa kweli ni aibu au kuna kuna kitu ndani yake kipo ambacho ni siri.

TISS wakigundua wanawapelekea polisi ili wakamate kwani watu wa TISS hawana mamlaka ya kukamata. Idara ile ni pana na ina majukumu mengi sana na kwa hilo hawawezi kukwepa lawama kama wapo serious labda iingie siasa kama ilivyo ada ya watanzania kukwepa kuwajibika.
 
Tanzania hii ukipata kitengo cha maana af mwisho wa siku unakufa ukiwa masikini, utakuwa mpumbavu, na hautakuwa tofauti na anayekufa kwa kiu akiwa huku yupo baharini
 
Pre-shipment Verification of Conformity (PVoC)


The Tanzania Bureau of Standards (TBS) has implemented a new product conformity assessment programme for the control of certain categories of imported consumer goods.

The new programme, known as Pre-Export Verification of Conformity (PVoC) to standards will be implemented from 01 February 2012. The objective of the PVoC is to ensure that all imports of regulated products comply with the approved Tanzanian technical regulations, (i.e. Tanzanian or other approved international standards), prior to shipment.

LIST OF COUNTRIES COVERED BY PVoC PROGRAMME
S/N Country
1 Afghanistan
2 Albania
4 Algeria
4 Andorra
5 Anguilla
6 Antigua and Barbuda
7 Antilles, Netherlands
8 Arabia, Saudi
9 Argentina
10 Armenia
11 Australia
12 Austria
13 Azerbaijan
14 Bahamas
15 Bahrain
16 Bangladesh
17 Barbados
18 Belarus
19 Belgium
20 Belize
21 Benin
22 Bermuda
23 Bhutan
24 Bolivia
25 Bosnia and Herzegovina
26 Bouvet Island
27 Brazil
28 British Indian Ocean Territory
29 British Virgin Islands
30 Brunei Darussalam
31 Bulgaria
32 Burkina Faso
33 Cambodia
34 Cameroon
35 Canada
36 Cape Verde
37 Cayman Islands
38 Central African Republic
39 Chad
40 Chile
41 China
42 Christmas Island
43 Cocos (Keeling) Islands
44 Colombia
45 Comoros
46 Cook Islands
47 Costa Rica
48 Cote d'Ivoire
49 Croatia
50 Cuba
51 Cyprus
51 Czech Republic
53 Denmark
54 Djibouti
55 Dominica
56 Dominican Republic
57 East Timor
58 Ecuador
59 Egypt
60 El Salvador
61 Equatorial Guinea
62 Eritrea
63 Estonia
64 Ethiopia
65 Falkland Islands (Malvinas)
66 Faroe Islands
67 Fiji
68 Finland
69 France
70 French Guiana
71 French Polynesia
72 French Southern Territories
73 Gabon
74 Gambia
75 Georgia
76 Germany
77 Ghana
78 Gibraltar
79 Greece
80 Grenada
81 Guadeloupe
82 Guatemala
83 Guinea
84 Guinea-Bissau
85 Guinea, Equatorial
86 Guyana
87 Haiti
88 Honduras
89 Hong Kong (China)
90 Hungary
91 Iceland
92 India
93 Indonesia
94 Iran, Islamic Republic of
95 Iraq
96 Ireland
97 Israel
98 Italy
99 Jamaica
100 Japan
101 Jordan
102 Kazakhstan
103 Korea, Democratic People's Republic of
104 Korea, Republic of
105 Kuwait
106 Kyrgyzstan
107 Latvia
108 Lebanon
109 Liberia
110 Libyan Arab Jamahiriya
111 Liechtenstein
112 Lithuania
113 Luxembourg
114 Macedonia
115 Malaysia
116 Maldives
117 Mali
118 Malta
119 Marshall Islands
120 Martinique
121 Mauritania
122 Mexico
123 Moldova, Republic of
124 Monaco
125 Mongolia
126 Montenegro
127 Morocco
128 Myanmar
129 Nepal
130 Netherlands
131 New Caledonia
132 New Zealand
133 Nicaragua
134 Niger
135 Nigeria
136 Norway
137 Oman
138 Pakistan
139 Palestinian Territory
140 Panama
141 Papua New Guinea
142 Paraguay
143 Peru
144 Philippines
145 Poland
146 Portugal
147 Puerto Rico
148 Qatar
149 Reunion
150 Romania
151 Russian Federation
152 Saint Helena
153 Saint Kitts and Nevis
154 Saint Lucia
155 Saint Vincent and the Grenadines
156 San Marino
157 Sao Tome and Principe
158 Senegal
159 Serbia & Montenegro
160 Sierra Leone
161 Singapore
162 Slovakia
163 Slovenia
164 South Africa
165 Spain
166 Sri Lanka
167 Sudan
168 Suriname
169 Sweden
170 Switzerland
171 Syrian Arab Republic
172 Taiwan
173 Tajikistan
174 Togo
175 Trinidad & Tobago
176 Tunisia
177 Turkey
178 Turkmenistan
179 Tuvalu
180 Ukraine
181 United Arab Emirates
182 United Kingdom
183 United States
184 Uruguay
185 Uzbekistan
186 Venezuela
187 Viet Nam
188 Yemen



Wameongeza wigo wa wizi utakaoanza rasmi, Jumatano tarehe 01/02/2012
 
Back
Top Bottom