TBL yaungua moto

Jafar

JF-Expert Member
Nov 3, 2006
1,136
52
Usiku wa mwanzo wa siku ya leo (29 july) saa 7 usiku (01:00 am) moto mkubwa ulizuka ndani ya kiwanda cha bia (TBL) na kuteketeza masanduku matupu ya bia (yaani shells with bottles) yote yaliyokuwa yamepangwa hapo ndani. shukrani kwa wafanyakazi na makampuni binafsi ya Night Support kwa kusaidia kuuzima moto usilete madhira makubwa.

Mitambo ya kuzalishia bia imesalimika.

Ninazo picha kiasi lakini sijui jinsi ya kuzitungika humu (nipeni shule)


cid:image001.jpg@01CA103A.3AD75AA0






cid:image002.jpg@01CA103A.3AD75AA0








cid:image003.jpg@01CA103A.3AD75AA0




cid:image004.jpg@01CA103A.3AD75AA0






cid:image005.jpg@01CA103A.3AD75AA0



cid:image006.jpg@01CA103A.3AD75AA0

cid:image007.jpg@01CA103A.3AD75AA0
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom