ngwilulupi
Member
- Jul 10, 2009
- 10
- 1
Hao walie tu.dhama za kuhodhi zimeshakwisha.Cha kufanya wapambane sokono kwa ubora wa bidhaa zao na huduma nyingine.wasipo kuwa makini ,watakwama ,kwa sabau wa Tanaznia wasasa ni waelewa,hawapendi kupelekw pelekwa.Tutaisimamia serengeti wasionewe.