BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Kipindi cha mwaka 2005-2010 mfumuko wa bei ya vyakula ni ya kutisha nchini TZ kufikia na kuzidi 200%.Jamani hayo ndiyo maisha bora?au kipimo ni magorofa machache ya watu wachache yanayochomoza kila kukicha dar, arusha na mwanza peke yake? WANAUCHUMI TUSAIDIENI KWA TAFSIRI YA UCHUMI KUKUA