TBC1 wamefulia.

Tanganyika1

JF-Expert Member
May 10, 2011
422
86
Labda mi sijui maana halisi ya habari, lakini kitendo cha tbc kuweka mambo ya kale pindi nyerere alipofanya ziara zake sidhani kama ni sahihi kwenye taarifa ya habari. Mi nadhani wangetenga muda maalum na kuweka hayo mambo yao. Eti miaka 50 ya uhuru bado nchi gizani, viwanda vinasimama uzalishaji kisa umeme. Baada ya kuonyesha walokosa ajira kwa sakata la umeme wanatupoza na enzi hizo wakati wengine hata hatukuwepo....mla kala leo bana mla jana kala nn? Wamenikera sana.
 
Sijui ndiyo mambo ya management mpya hiyo yaani ni upuuzi mtupu wana kirap chao cha kijinga jinga, vipindi vingine vya kijinga full kucopy toka EAT Tv n.k Nadhani TBC1 wasipojirekebisha hali itakuwa mbaya zaidi.
 
Aisee nimeona quality ya picha zao za video, very poor! Sijui hizo resolution ya camera zao ni pixels ngapi, hata camera yangu ingechukua video nzuri zaidi! hapa nazungumzia matukio ya leo, si picha za enzi za kale.
 
TBC wamefulia kama Magmba walivyofulia, naona hata wadhamini watawakimbia mambo yakiwa hivyo
 
Nawashaur wafanyakaz pale wasake kazi!!nahisi wanakufa even skillfull jamaniii,vipind no mpangilio dk 2 tangazo dk2 imenyamaza kimya,waweza ona matangazo yasiyoeleweka dk 20 nzma mmmmm::::::
 
Hivi hili suala la sherehe za uhuru kuanzia 1june hadi 9 December,na kila wizara kupewa tar ya kuadhimisha hii siku,mbona serikali haituonei huruma watz,watu maisha magumu,alafu tufanye sherehe kwa miezi sita mfululizo,kwa lipi hasa la kujivunia hiyo miaka 50..tunajivua umaskini na matumizi mabaya ya rasilimali,ndio wanachofanya tbc wameagizwa na wakubwa wao.
 
Wapeni nafac wakajibu maswali kwny kamati ya bunge ya mashirika ya umma kuhusiana na mkataba feki wa startimes.
 
Back
Top Bottom