komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
Kweli sielewi kama kuna watu wana akili timamu. Hawa waigizaji ni njaa au? Dhihaka na vitisho kwa jamii kwa kutumia televisheni ya serikali ktk masuala muhimu ya kitaifa ni upunguani.
Na ni waongo wakubwa, dk slaa hakutangaza maandamano, lile lilikua kongamano. Watuambie kama TBC1 ni ya CCM au la.
Sasa nimejua kwa nini Tido Mhando kafukuzwa. Nchi haitatawalika, wanafunzi wa vyuo ndio watendakazi wa serikali wa kesho. Endelezeni bifu lenu, labda muwe mnawaleta kina Lau masha kutoka nje kushika vitengo vyote nchi.
Na ni waongo wakubwa, dk slaa hakutangaza maandamano, lile lilikua kongamano. Watuambie kama TBC1 ni ya CCM au la.
Sasa nimejua kwa nini Tido Mhando kafukuzwa. Nchi haitatawalika, wanafunzi wa vyuo ndio watendakazi wa serikali wa kesho. Endelezeni bifu lenu, labda muwe mnawaleta kina Lau masha kutoka nje kushika vitengo vyote nchi.