Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Nakumbuka April 2009 baada ya Milipuko ya Mabomu huko Mbagala kituo cha TBC1 baada ya siku tatu walianza kuonyesha "documentary" ya Vita ya Kagera..
Leo hii nimeona pia kituo cha TBC1 waki-air "documentary" ya Vita ya Kagera, na hii ikiwa siku chache baada ya tukio la Gongo La Mboto...
Sifahamu ni nini hasa wanajaribu ku-potray lakini nadhani ni kitendo cha aibu wakati bado kuna maiti na majeruhi wengi wa tukio hilo na huku TBC kuonyesha "documentary" ya VITA!!
Leo hii nimeona pia kituo cha TBC1 waki-air "documentary" ya Vita ya Kagera, na hii ikiwa siku chache baada ya tukio la Gongo La Mboto...
Sifahamu ni nini hasa wanajaribu ku-potray lakini nadhani ni kitendo cha aibu wakati bado kuna maiti na majeruhi wengi wa tukio hilo na huku TBC kuonyesha "documentary" ya VITA!!