Elections 2010 TBC1 si shirika la umma?

Henry Kilewo

JF-Expert Member
Feb 9, 2010
899
1,084
Kinacho endelea kwasasa kwenye TBC ni wazi ya kuwa CCM wanatuonyesha wazi kuwa wananchi hawatakiwi kuufahamu ukweli wa maovu wa yatendayo, kwa kitendo cha TBC kutoonyesha kampeni za CHADEMA mikoani ni kuwanyima watanzania fursa za kufahamu ya kuwa ni kwanini CHADEMA inasema CCM ni chama cha mafisadi? wakati awamu ya kwanza ya kampeni za CCM zilikuwa zinaonyeshwa na kituo hicho kinacho jiita ni kituo cha TAIFA , kumbe ndivyo sivyo kwa hali halisi inayoendelea kwasasa, kiukweli naona sura ya machafuko 2010 kama CCM wanaonyesha dhahiri hawataki kushindwa kwa hoja so wanataka kuendelea kuongoza milele. TANZANIA tuamke kwasasa kuvipinga vitendo vya ukandamizwaji kama hivi, vyombo vya dola kutumiwa na chama tawala ni kwa manufaa yao binafsi ni upuuzi
 
katika kuelekea uchaguzi october 2010 shirika la utangazaji TBC1 wamezidi kutoonyesha usawa wa demockasia kwa vyama vyote. kampeni zilipofunguliwa 20/08/2010 kila ulipofungua TBC unakuta rangi za kijani(CCM), siku zikaenda CUF wakafungua kampeni zao na wenyewe wakaonekana live and Chadema wakafungua kampeni wakaonekana live pamoja na kuwakatia matangazo.

Taarifa ya habari ya tarehe
27/08/2010 baada ya chadema kuzindua kampeni zao walionesha, CCM na CUF walioneshwa pia.

28/08/2010 CCM walionesha kampeni kwa mgombea wa urais, makamu, wabunge na madiwani, CUF walionesha mgombea urais tu CHADEMA ilikula kwao mana mgombea wao alikuwa DODOMA hakuoneshwa, je reporter wa TBC hawakuwepo?

29/08/2010 CHADEMA walionesha mgombea urais(lakini taarifa ilikuwa inakatika katika, wakaomba samahani ikaja kurushwa saa 4 watu wanaelekea kulala)

29/08/2010 TBC walionesha usawa kwa wagombea wote

30/08/2010 TBC walionesha taarifa za chadema zikiwa mgombea ubunge zikiwa zinakatika katika wakaomba samahani wakarudia sa 4 watu wakiwa wamelala, kwani TBC frequency zao zinabadilika wakifika taarifa za chadema?

02/09/2010 80% ya taarifa ilikuwa CCM, CUF walionesha mgombea urais na Chadema mgombea urais, hapa usawa uko wapi?

Muda katika taarifa ya habari ya jana 02/09/2010
Mgombea mwenza CCM dk 4.02.025, hapa aliongea mara 3 tofauti katika taarifa moja
Mgombea Urais Chadema dk 2.25.40 mgombea aliongea mara moja taarifa ilikuwa inabreak
Mgombea wa CUF alioneshwa mara moja


Mytake :TBC kwa sasa imenunuliwa na ccm

1.Inakuwaje TBC wanakuwa wabaguzi kiasi hiki?
2.Kwani ikifika taarifa za chadema frequency ya TBC inabadilika?
3.kwanini TBC taarifa zao za habari 80% ni CCM?
4.Reporter wa TBC wanafanya makusudi kutotoa ujumbe kamilifu kwa umma wakiogopa kufukuzwa kazi?

 
good analysis...ndo data tunazotaka hizi. endelea kuwa-time kila taarifa ya habari. Bila data tunakuwa mavuvuzela tu!
Na hii inaonyesha watu wanauchu mwaka huu. HATUDANGANYIKI!

Data za 2-Sept ndo zimetulia. Hii ya kusema 80% nk...ni maoni tu mkuu. Lakini hizi zinazopima muda kabisa ndo tunazohitaji. Mkuu ninaomba uendelee kukusanya namna hii.
 
Hilo tunalijua vizuri, kwani unajua Tido mhando alipewa kazi na nani? Na unajua kuwa CCM wamehodhi resources za serikali zoote na ndizo wanazofanyia kampeni? e.g magari ya serikali kutumika na salma kikwete kwenye kampeni pamoja na askari wetu wengi tu na viongozi wa serikali baada ya kufanya kazi za kujega taifa. yako mambo mengi tu, ila kwenye media hiyo ni lafu kweli kweli , maana TBC1 inawafikia watu wengi sana. Kikwete tutamshitaki tukichukua nchi iwe mwaka huuu au ule mwingine, hatumwachiliii.
 
Mkuu TBC chini ya TIDO ni CCM sasa hapo unategeme kipi kipya, wamejisahau sana kuwa wanaishi kwa KODI ZETU SISI WANANCHI wanadhani wanaishi kwa HELA YA CCM.

Kila lenye mwanzo huwa lina mwisho wote tushirikiana kuiondoa CCM madarakani tuweke CHADEMA ili wakomeshe hii tabia ya MATUMIZI MABAYA YA KODI ZA WANANCHI tuone jeuri ya TBC itaishia wapi
 
katika kuelekea uchaguzi october 2010 shirika la utangazaji TBC1 wamezidi kutoonyesha usawa wa demockasia kwa vyama vyote. kampeni zilipofunguliwa 20/08/2010 kila ulipofungua TBC unakuta rangi za kijani(CCM), siku zikaenda CUF wakafungua kampeni zao na wenyewe wakaonekana live and Chadema wakafungua kampeni wakaonekana live pamoja na kuwakatia matangazo.

Taarifa ya habari ya tarehe
27/08/2010 baada ya chadema kuzindua kampeni zao walionesha, CCM na CUF walioneshwa pia.

28/08/2010 CCM walionesha kampeni kwa mgombea wa urais, makamu, wabunge na madiwani, CUF walionesha mgombea urais tu CHADEMA ilikula kwao mana mgombea wao alikuwa DODOMA hakuoneshwa, je reporter wa TBC hawakuwepo?

29/08/2010 CHADEMA walionesha mgombea urais(lakini taarifa ilikuwa inakatika katika, wakaomba samahani ikaja kurushwa saa 4 watu wanaelekea kulala)

29/08/2010 TBC walionesha usawa kwa wagombea wote

30/08/2010 TBC walionesha taarifa za chadema zikiwa mgombea ubunge zikiwa zinakatika katika wakaomba samahani wakarudia sa 4 watu wakiwa wamelala, kwani TBC frequency zao zinabadilika wakifika taarifa za chadema?

02/09/2010 80% ya taarifa ilikuwa CCM, CUF walionesha mgombea urais na Chadema mgombea urais, hapa usawa uko wapi?

Muda katika taarifa ya habari ya jana 02/09/2010
Mgombea mwenza CCM dk 4.02.025, hapa aliongea mara 3 tofauti katika taarifa moja
Mgombea Urais Chadema dk 2.25.40 mgombea aliongea mara moja taarifa ilikuwa inabreak
Mgombea wa CUF alioneshwa mara moja


Mytake :TBC kwa sasa imenunuliwa na ccm

1.Inakuwaje TBC wanakuwa wabaguzi kiasi hiki?
2.Kwani ikifika taarifa za chadema frequency ya TBC inabadilika?
3.kwanini TBC taarifa zao za habari 80% ni CCM?
4.Reporter wa TBC wanafanya makusudi kutotoa ujumbe kamilifu kwa umma wakiogopa kufukuzwa kazi?


Now this is JF standards. Keep it up mkuu
 
Kibaya zaidi wakifanya interview na watu wa upinzani wanataka wachezee mle mle wanapotaka wao, Jana usiku wakati wakimhoji Dr. Mvungi kila alipotaka kutaja neno fisadi huyo J. Shirima alikuwa hataki. Hivi TBC wanaona kichefuchefu gani mtu akitaja ufisadi? Au na wao mafisadi? Nimeshawaambia kwamba haki haiji tu kama lulu, ni kuwatafutia adhabu ya kutumia kodi zetu kuinufaisha CCM.
 
katika kuelekea uchaguzi october 2010 shirika la utangazaji TBC1 wamezidi kutoonyesha usawa wa demockasia kwa vyama vyote. kampeni zilipofunguliwa 20/08/2010 kila ulipofungua TBC unakuta rangi za kijani(CCM), siku zikaenda CUF wakafungua kampeni zao na wenyewe wakaonekana live and Chadema wakafungua kampeni wakaonekana live pamoja na kuwakatia matangazo.

Taarifa ya habari ya tarehe
27/08/2010 baada ya chadema kuzindua kampeni zao walionesha, CCM na CUF walioneshwa pia.

28/08/2010 CCM walionesha kampeni kwa mgombea wa urais, makamu, wabunge na madiwani, CUF walionesha mgombea urais tu CHADEMA ilikula kwao mana mgombea wao alikuwa DODOMA hakuoneshwa, je reporter wa TBC hawakuwepo?

29/08/2010 CHADEMA walionesha mgombea urais(lakini taarifa ilikuwa inakatika katika, wakaomba samahani ikaja kurushwa saa 4 watu wanaelekea kulala)

29/08/2010 TBC walionesha usawa kwa wagombea wote

30/08/2010 TBC walionesha taarifa za chadema zikiwa mgombea ubunge zikiwa zinakatika katika wakaomba samahani wakarudia sa 4 watu wakiwa wamelala, kwani TBC frequency zao zinabadilika wakifika taarifa za chadema?

02/09/2010 80% ya taarifa ilikuwa CCM, CUF walionesha mgombea urais na Chadema mgombea urais, hapa usawa uko wapi?

Muda katika taarifa ya habari ya jana 02/09/2010
Mgombea mwenza CCM dk 4.02.025, hapa aliongea mara 3 tofauti katika taarifa moja
Mgombea Urais Chadema dk 2.25.40 mgombea aliongea mara moja taarifa ilikuwa inabreak
Mgombea wa CUF alioneshwa mara moja


Mytake :TBC kwa sasa imenunuliwa na ccm

1.Inakuwaje TBC wanakuwa wabaguzi kiasi hiki?
2.Kwani ikifika taarifa za chadema frequency ya TBC inabadilika?
3.kwanini TBC taarifa zao za habari 80% ni CCM?
4.Reporter wa TBC wanafanya makusudi kutotoa ujumbe kamilifu kwa umma wakiogopa kufukuzwa kazi?


Goog analysis mkuu thnaks endelea kutuaabalisha

TBC wamezidi kwa unyama
 
leo asubuhi wameonyesha kichwa cha zito kabwe na upande uliokaa watoto hawakutembeza kamera kuonyesha watu wote waliohudhuria mkutano wake wa kampeni kama msigwa alivyokuwa anaripoti kampeni za ccm songea na Ghalib, nimegundua CCM wanapewa dakika 10 CUF 3 na Chadema 1.30 nimekuwa nikihesabu tangu mwanzo mwa wiki hii, huu ni uvunjanji mkubwa wa haki za binadamu wanajua jinsi vyombo vya habari vilivyo na nguvu,kupindisha ukweli na jinsi hasira ya wananchi wanavyoweza kuamua kuchoma TBC wakiona wananyimwa haki yao ya msingi kwani ni kodi zao zinazoendesha shirika wana haki ya kupata taarifa kwa mizania sawa,TBC waondoe uzandiki na kutaka kutupelekea taifa kwenye maafa makubwa kwa uroho wao wa pesa.TBC haya yote yatakuja kuwatokea puani,ole wenu huwa hawaonyeshi shamshamra za washabiki wa Chadema wanaporusha mikono wanaonyesha mikono imeganda,hawa wehu kweli ninachopenda redio nyingi zinasoma magezeti yote kwa undani na nina imani wananchi wengi wanapata taarifa kwa undani.
 
good analysis...ndo data tunazotaka hizi. endelea kuwa-time kila taarifa ya habari. Bila data tunakuwa mavuvuzela tu!
Na hii inaonyesha watu wanauchu mwaka huu. HATUDANGANYIKI!

Data za 2-Sept ndo zimetulia. Hii ya kusema 80% nk...ni maoni tu mkuu. Lakini hizi zinazopima muda kabisa ndo tunazohitaji. Mkuu ninaomba uendelee kukusanya namna hii.

Mkuu leo (03/09/2010) mida ya saa 6.05 na saa 6.35usiku TBC walikuwa wanapiga nyimbo za CCM
Msanii mmoja sikuweza kumpata jina alikuwa anaimba wimbo wa kumchagua KIKwete na wabunge wake akiimba wapinzani hawana jipya

Mytake to TBC1

Kama wameamua kuonesha nyimbo katika TV ya TAifa wafanye kwa vyama vyote sio SSM tu
Siku moja mtakuja kuwalipa wananchi
 
Mkuu leo (03/09/2010) mida ya saa 6.05 na saa 6.35usiku TBC walikuwa wanapiga nyimbo za CCM
Msanii mmoja sikuweza kumpata jina alikuwa anaimba wimbo wa kumchagua KIKwete na wabunge wake akiimba wapinzani hawana jipya

Mytake to TBC1

Kama wameamua kuonesha nyimbo katika TV ya TAifa wafanye kwa vyama vyote sio SSM tu
Siku moja mtakuja kuwalipa wananchi

mkuu...tunakusoma na kurekodi!kazi tunayo!!
 
Mkuu leo (03/09/2010) mida ya saa 6.05 na saa 6.35usiku TBC walikuwa wanapiga nyimbo za CCM
Msanii mmoja sikuweza kumpata jina alikuwa anaimba wimbo wa kumchagua KIKwete na wabunge wake akiimba wapinzani hawana jipya

Mytake to TBC1

Kama wameamua kuonesha nyimbo katika TV ya TAifa wafanye kwa vyama vyote sio SSM tu
Siku moja mtakuja kuwalipa wananchi

Mbona hilo halipo mbali kutokea hivi sasa, lazima lazima watalipa kile walichotenda na uzuri ni kwamba historia huwa haifi daima,
 
Mkuu leo (03/09/2010) mida ya saa 6.05 na saa 6.35usiku TBC walikuwa wanapiga nyimbo za CCM
Msanii mmoja sikuweza kumpata jina alikuwa anaimba wimbo wa kumchagua KIKwete na wabunge wake akiimba wapinzani hawana jipya

Mytake to TBC1

Kama wameamua kuonesha nyimbo katika TV ya TAifa wafanye kwa vyama vyote sio SSM tu
Siku moja mtakuja kuwalipa wananchi
Mbona tarehe 29 umeonyesha mara mbili. Ni wapi ni wapi ili tuwe na wakika tukirudia hii information? Niko na jamaa wangu ana rekodi haya mambo. Naomba unipe details kabisa za nani alikua anaongea mpaka wakamkata.

Alafu sijui kama umegundua tarehe 28 TBC Marine akjionyesha akipigwa huku akisema kwamba eti "Sijui kama wana lengo la kufanya kampeni kwa amani kama mambo yenyewe ni yale ya kumpiga mwandishi na kumtukana" - Yani eti huyu ni mwandishi.

Na siku hizi sijui kama umegundua wana mambo flani ya kihuni TBC ya kusoma SMS za watu zinazoombaga kampeni za amani na utulivu na ya kukwepa matusi alafu ndio wanabroadcast habari za CHADEMA.:mad2:
 
Mbona tarehe 29 umeonyesha mara mbili. Ni wapi ni wapi ili tuwe na wakika tukirudia hii information? Niko na jamaa wangu ana rekodi haya mambo. Naomba unipe details kabisa za nani alikua anaongea mpaka wakamkata.

Alafu sijui kama umegundua tarehe 28 TBC Marine akjionyesha akipigwa huku akisema kwamba eti "Sijui kama wana lengo la kufanya kampeni kwa amani kama mambo yenyewe ni yale ya kumpiga mwandishi na kumtukana" - Yani eti huyu ni mwandishi.

Na siku hizi sijui kama umegundua wana mambo flani ya kihuni TBC ya kusoma SMS za watu zinazoombaga kampeni za amani na utulivu na ya kukwepa matusi alafu ndio wanabroadcast habari za CHADEMA.:mad2:

mkuu sina uwezo wa kurecord
kama unaangalia taarifa ya habari ya TBC ninayoandika hapa ni ya ukweli
 
Nakupongeza mleta mada kwa research nzuri sana. Ni vizuri haya mambo yaendelee kuwa documented on daily basis na ikiwezekana baada ya uchaguzi Ifanywe analysis na kiandikwe kitabu kinachoelezea jmadhara ya TBC kupendelea na kupotosha jamii. Kitabu hicho kisambazwe kwa wanaharakati wote Tanzania na Duniani kwa ujumla.
 
Halafu TBC1 kwa kuonyesha kuwa kampeni inahudhuriwa na watoto wanafikiri ndiyo ujanja, hawajui kuwa WATOTO hao ndio Wapiga kura wa kesho na watakuwa Hawadanganyiki kirahisi.
 
katika kuelekea uchaguzi october 2010 shirika la utangazaji TBC1 wamezidi kutoonyesha usawa wa demockasia kwa vyama vyote. kampeni zilipofunguliwa 20/08/2010 kila ulipofungua TBC unakuta rangi za kijani(CCM), siku zikaenda CUF wakafungua kampeni zao na wenyewe wakaonekana live and Chadema wakafungua kampeni wakaonekana live pamoja na kuwakatia matangazo.

Taarifa ya habari ya tarehe
27/08/2010 baada ya chadema kuzindua kampeni zao walionesha, CCM na CUF walioneshwa pia.

28/08/2010 CCM walionesha kampeni kwa mgombea wa urais, makamu, wabunge na madiwani, CUF walionesha mgombea urais tu CHADEMA ilikula kwao mana mgombea wao alikuwa DODOMA hakuoneshwa, je reporter wa TBC hawakuwepo?

29/08/2010 CHADEMA walionesha mgombea urais(lakini taarifa ilikuwa inakatika katika, wakaomba samahani ikaja kurushwa saa 4 watu wanaelekea kulala)

29/08/2010 TBC walionesha usawa kwa wagombea wote

30/08/2010 TBC walionesha taarifa za chadema zikiwa mgombea ubunge zikiwa zinakatika katika wakaomba samahani wakarudia sa 4 watu wakiwa wamelala, kwani TBC frequency zao zinabadilika wakifika taarifa za chadema?

02/09/2010 80% ya taarifa ilikuwa CCM, CUF walionesha mgombea urais na Chadema mgombea urais, hapa usawa uko wapi?

Muda katika taarifa ya habari ya jana 02/09/2010
Mgombea mwenza CCM dk 4.02.025, hapa aliongea mara 3 tofauti katika taarifa moja
Mgombea Urais Chadema dk 2.25.40 mgombea aliongea mara moja taarifa ilikuwa inabreak
Mgombea wa CUF alioneshwa mara moja


Mytake :TBC kwa sasa imenunuliwa na ccm

1.Inakuwaje TBC wanakuwa wabaguzi kiasi hiki?
2.Kwani ikifika taarifa za chadema frequency ya TBC inabadilika?
3.kwanini TBC taarifa zao za habari 80% ni CCM?
4.Reporter wa TBC wanafanya makusudi kutotoa ujumbe kamilifu kwa umma wakiogopa kufukuzwa kazi?


Hawa jamaa ni wapuuzi sana,
Na jana tena wamerudia ushenzi huo huo, wakati wanaonyesha uzinduzi wa kampeni za chadema jimbo la mwibara taarifa ikawa inakatika katika na haikuwa na sauti lakini taarifa nyengine zikaendelea kuruka kama kawaida.
Kitu kingine kilichonikera ni ile style ya mahojiano aliyokuwa anaitumia jane shirima, hakutaka dr. Mvungi atoe maelezo ya kujitosheleza, kila akianza tu kuongea anamkatisha, yaani yule mwanamke nilitamani Mvungi amnase kibao.
 
Mkuu TBC chini ya TIDO ni CCM sasa hapo unategeme kipi kipya, wamejisahau sana kuwa wanaishi kwa KODI ZETU SISI WANANCHI wanadhani wanaishi kwa HELA YA CCM.

Kila lenye mwanzo huwa lina mwisho wote tushirikiana kuiondoa CCM madarakani tuweke CHADEMA ili wakomeshe hii tabia ya MATUMIZI MABAYA YA KODI ZA WANANCHI tuone jeuri ya TBC itaishia wapi

Jana walijizilishia kuwa TBC ni ya CCM
 
Back
Top Bottom