Injinia
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 849
- 26
Nimesikia taarifa kuwa TBC1 wanaanzisha kipindi kitakachoitwa "Selebuka"
Kwa uelewa wangu ni kwamba wameiga mfumo wa "Strictly come Dancing" au "Dancing with the Stars" vilivyoanzia Uingereza miaka ya 80 na Marekani baada ya hapo.
Mimi binafsi ni mpenzi sana wa hivi vipindi, haswa Strictly Come Dancing ya BBC1. Ila maswali yananijia:
1. Ni mtindo gani wa dansi watakaoshindanishwa hawa wasanii? Ballroom dancing?
2. Je tuna majaji wa kiwango cha kupima uchezaji wa ballroom dancing Tanzania au ndio wale wale akina Salama Jabir?
3. Ni lazima tuige kutoka nje?
4. Hatuwezi kubuni mashindano yetu wenyewe? Kama ya kucheza ngoma za kienyeji kwa mfano, badala ya kuziacha zife kifo cha mende?
4. Akina Juma nature na wenzake wa Temeke na wengine wa Manzese watafaidika nini na ballroom dancing?
Pendekezo: Tido Mhando, nafahamu una uwezo na pia influence kutoka BBC lakini nashauri uwe "ethnocentric"kidogo. TUSAIDIE KUDUMISHA MILA ZA JAMII ZA KITANZANIA.
Kwa uelewa wangu ni kwamba wameiga mfumo wa "Strictly come Dancing" au "Dancing with the Stars" vilivyoanzia Uingereza miaka ya 80 na Marekani baada ya hapo.
Mimi binafsi ni mpenzi sana wa hivi vipindi, haswa Strictly Come Dancing ya BBC1. Ila maswali yananijia:
1. Ni mtindo gani wa dansi watakaoshindanishwa hawa wasanii? Ballroom dancing?
2. Je tuna majaji wa kiwango cha kupima uchezaji wa ballroom dancing Tanzania au ndio wale wale akina Salama Jabir?
3. Ni lazima tuige kutoka nje?
4. Hatuwezi kubuni mashindano yetu wenyewe? Kama ya kucheza ngoma za kienyeji kwa mfano, badala ya kuziacha zife kifo cha mende?
4. Akina Juma nature na wenzake wa Temeke na wengine wa Manzese watafaidika nini na ballroom dancing?
Pendekezo: Tido Mhando, nafahamu una uwezo na pia influence kutoka BBC lakini nashauri uwe "ethnocentric"kidogo. TUSAIDIE KUDUMISHA MILA ZA JAMII ZA KITANZANIA.