babad
Member
- Feb 9, 2011
- 95
- 13
Hawa TBC1 siwaamini kwani wamekuwa wanachakachua habari kwa kuondoa vipande wanavyoona vinaleta sura tofauti na matakwa ya serikali.Mfanno jana wameonyesha Dr.Mwakyembe na Sita wakitoa hotuba kanisani lakini wakakata sehemu ambazo wanaeleza juu ya yeye kunyweshwa sumu,leo wanasema madaktari wamerudi kazini na huduma zinaendelea vizuri kwa baadhi ya hospitali ila wanasema mikoani na Dsm hawaijumuishi kabisa.Kwa hali hii tuna haja ya kuiamini???