Wakati inazinduliwa kwa mbwembwe nyingi nakumbuka waliwaalika wamiliki wa vituo vya habari vya binafsi alihojiwa mzee Reginald Mengi mmiliki wa kituo cha utangazaji cha ITV na Radio One.
Katika mahojiano hayo kuna sehemu alisema, ni vigumu sana TBC kushindana na vituo vya watu binafsi na leo hii kauli hiyo inaonekana dhahiri kwani kuna wakati unakuta vipindi vya radio vinasikika kwenye tv, yaani mawasiliano ya radi na tv zinakua hewani kwa pamoja. Picha yenyewe ni blue kama simu za kichina touch screen, kupishana kwa sauti kati ya nyimbo inayoimba na muimbaji, yaani hovyo kabisa.
Madhara ya kuchanganya siasa na vitu vinavyohitaji utaalam, leo hii tv ya taifa ndio station mbovu kuliko zote nchini.
Kweli MENGI aliona mbali sijui kwani hawakuenda kwake kuchukua ushauri leo haya yote yasingekuwepo, wanachezea kodi za walalahoi.
Katika mahojiano hayo kuna sehemu alisema, ni vigumu sana TBC kushindana na vituo vya watu binafsi na leo hii kauli hiyo inaonekana dhahiri kwani kuna wakati unakuta vipindi vya radio vinasikika kwenye tv, yaani mawasiliano ya radi na tv zinakua hewani kwa pamoja. Picha yenyewe ni blue kama simu za kichina touch screen, kupishana kwa sauti kati ya nyimbo inayoimba na muimbaji, yaani hovyo kabisa.
Madhara ya kuchanganya siasa na vitu vinavyohitaji utaalam, leo hii tv ya taifa ndio station mbovu kuliko zote nchini.
Kweli MENGI aliona mbali sijui kwani hawakuenda kwake kuchukua ushauri leo haya yote yasingekuwepo, wanachezea kodi za walalahoi.