kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Nashindwa kuelewa ni kwa nini TBC1 wakiwa wanatangaza habari za kampeni za wagomea , wakiwa wanatangaza kampeni za CCM matangazo yanakuwa clear na yanasikika vizuri, lakini ikishafika zamu ya vyama vya Mageuzi ndo hapo kero zinaanza, mara ooh tunaomba radhi ya kukosekana kwa sauti, picha hafifu na kadharika, nawaomba mtende haki kwa watanzania wote mnakera sana