Slogan yao kwa sasa inapaswa kuwa 'UWONGO NA UBABAISHAJI'
Muda si mrefu itakufa, kwa sasa inaishi kwa mashine inayoitwa ruzuku ya serikali,siku hiyo ruzuku ikasimamishwa kwa masaa 24 tu, huo ndio utakuwa mwisho wake.
Fununu kutoka chanzo cha ndani kinasema wakati wowote wafanyakazi wa TBC wataingia kwenye mgomo mkubwa:-
1/Kudai kulipwa pesa zao wanazodai kutoka kwenye malimbikizo ya mishahara,posho na marupurupu mbalimbali.
2/Kupinga manyanyaso na ubaguzi wa kiitikadi unaifanywa na wakurugenzi wao.
3/kupinga kuingiliwa kwa utendaji wao wa kitaaluma unaofanywa na watawala na makada wa CCM.
Muda si mrefu itakufa, kwa sasa inaishi kwa mashine inayoitwa ruzuku ya serikali,siku hiyo ruzuku ikasimamishwa kwa masaa 24 tu, huo ndio utakuwa mwisho wake.
Fununu kutoka chanzo cha ndani kinasema wakati wowote wafanyakazi wa TBC wataingia kwenye mgomo mkubwa:-
1/Kudai kulipwa pesa zao wanazodai kutoka kwenye malimbikizo ya mishahara,posho na marupurupu mbalimbali.
2/Kupinga manyanyaso na ubaguzi wa kiitikadi unaifanywa na wakurugenzi wao.
3/kupinga kuingiliwa kwa utendaji wao wa kitaaluma unaofanywa na watawala na makada wa CCM.