Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Nadhani ni wakati muafaka kwa wananchi tujiandae kuchukua nchi yetu. We had enough of these pranksters and mafioso.
Asha dada yangu punguza munkali, unajua huyu Tido Mhando aliletwa na Lowassa katika mbinu zao yeye na RA kujipanga kumg'oa muungwana; kwahiyo ni dhahili atatumiwa na RA na mafisadi wengine katika kutetea maslahi yao. Don't count on TBC kuwakwamua wananchi na ndio maana hata walipotangaza hotuba ya Rostam ,hawahuonyesha wakati akishindwa kujibu maswali kwani hapo ndio wananchi wangefahamu utupu wake.Hapana, suala sio vyama hapa. Ni kuhusu Mwanamtandao Mshenzi(Uncivilized) Tido Mhando ambaye anakubali kuwa kuwadi wa mafisadi kwa kutumia television ya umma!
Asha
Asha dada yangu punguza munkali, unajua huyu Dunstan Tido Mhando aliletwa na Lowassa katika mbinu zao yeye na RA kujipanga kumg'oa muungwana; kwahiyo ni dhahili atatumiwa na RA na mafisadi wengine katika kutetea maslahi yao. Don't count on TBC kuwakwamua wananchi na ndio maana hata walipotangaza hotuba ya Rostam ,hawahuonyesha wakati akishindwa kujibu maswali kwani hapo ndio wananchi wangefahamu utupu wake.Hapana, suala sio vyama hapa. Ni kuhusu Mwanamtandao Mshenzi(Uncivilized) Tido Mhando ambaye anakubali kuwa kuwadi wa mafisadi kwa kutumia television ya umma!
Asha
Pasco, can you declare conflict of interest here!Huu mjadala watu wanakuwa so emotional for nothing, Dada Asha, kwa sisi tunaoijua TBC ilivyokuwa na ilivyo sasa, please, please, please, leave Tido na timu yake alone!
kipindi cha Fisadi Papa kuhusu fisadi Nyangumi sio TBC production. ni kipindi cha nje, by production house, jamaa kalipia, kosa la Tido lipi.
Hata Mbowe na Chadema akilipia kipindi kinarushwa.
Kile cha Mwembeyanga hata ningekuwa mimi ningekirusha bila majina kwa sababu ni tuhuma. Fisadi Nyangumi alimwaga tuhuma za fisadi papa bila kutoa ushahidi, fisadi papa kamwaga za Fisadi nyangumi na nondo juu. siye dagaa ni kuangalia movie tuu, kosa la TBC lipi?
Hivi kelele zote hizi kuhusu fisadi papa, anayelelewa na JK, halafu fisadi nyangumu anataka kumsaidia JK kumtokomeza fisadi papa, kweli inakuja hii?.
Mzee wetu ana agenda yake, ilidhamiria kulamba dume, tatizo kazichanga vibaya karata zake akalamba magarasa huku mshindani akichezesha mizungu na dume JK yuko mkononi.
Tuendeleeni kudebate ila TBC iacheni kando.
Ukiwa na pesa nchi hii unaabudiwa, mwenye CNN ni Ted Turner, ushawahi kumuona kwenye CNN?. Mwenye Sky ni Rupert Murdoch, ushawahi kumuona kwenye TV?. Mzee wako ni kila kukicha, unataka kumlinganisha na Tido?
Hata ukiwaweka wakae kimya kwa kuwatazama machoni tuu, kama una macho, utaona tofauti, leo unataka kuzielekeza hasira za kipenzi cha watu kuitwa papa nyangumi, kwa kuigeuzia kibao TBC?
Tudadilianeni, tulumbane, tubishane na tukubaliane au tusikubaliane, leave TBC alone.
Asha dada yangu punguza munkali, unajua huyu Tido Mhando aliletwa na Lowassa katika mbinu zao yeye na RA kujipanga kumg'oa muungwana; kwahiyo ni dhahili atatumiwa na RA na mafisadi wengine katika kutetea maslahi yao. Don't count on TBC kuwakwamua wananchi na ndio maana hata walipotangaza hotuba ya Rostam ,hawahuonyesha wakati akishindwa kujibu maswali kwani hapo ndio wananchi wangefahamu utupu wake.
No Kapinga, sio suala la rizki maana mimi sio mwandishi, sio mtangazaji, sio producer hivyo sina maslahi yoyote na TBC bali ni katika kupigania ukweli. Huwa najitahidi sana kusimama kwenye ukweli hii ni hulka yangu, ukweli umeishawahi kunicost sana tuu, lami nimesaga sana na bado nasaga kwa sababu ya kusimama kwenye ukweli. Sijidai wala kujivunia umasikini wangu, bali najisikia sifa kuwa masikini jeuri, kufa kizungu na tai shingoni kwa kulala njaa, badala ya kuendekeza njaa. Ndio ukweli huu unaonisikuma kuwaomba msimuingize Tido na TBC kwenye hili. pale ni bussiness as usual.Pasco nadhani hii issue imekugusa kwenye rizki..tbc was wrong for this and you know it..bbc hata sikumoja haiwezi rusha malumbano ya watu binafsi kwa kipindi maalamu..nadhani huelewi kazi ya public body. CNN and Sky ni Private wamiliki wakijisikia kujitangaza they can do so, uamuzi tuu!! Kama ulivyosema mwenye Tido na Mengi huwezi linganisha kwasababu Tido ni Mfanyakazi wa SERIKALI!!
Absolutely no conflict of interest, jina lisije kukujanganya na yule mtangazaji, mimi ni "Pasco" wa JF.Pasco, can you declare conflict of interest here!
Ni kweli kabisa, mmbwa ni miongoni mwa wanyama waaminifu kabisa kwa masters wao na husimama nao hadi kifo but infortunately kwenye hili, no one was my master, I'm glad to declare, I'm (was) the master of my own game. Kitu ninachopigania hapa ni ukweli kuhusu TBC, that was pure bussiness hakuna politics na Tido mmuache jamaa ni kama mzungu na miaka yake lukuki BBC, asije kasirika JF tunamchimba tukaingizwa kwenye kundi la 'waswahili'Pasco, Asante kwa uchambuzi wako katika suala hili. Lakini toka lini mbwa akamuuma master wake anayemlisha mabaki ya chakula?
Dada Asha heshima mbele, nakubaliana na wewe it might look unfare, waliorusha sio TBC ni kampuni ile iliyoandaa ile press com. Tbc walichofanya ni kuhakiki maudhui na kupokea hela yao.Pasco
Pale Mwembe Yanga Dr Slaa na Tundu Lissu walilitoa tuhuma na ushahidi tena kwa kunukuu nyaka za serikali yenyewe. Kwanini TBC hawakurusha?
Halafu tofautisha TV ya umma na ya binafsi, ya umma si suala la fedha tu na kurusha. Inatizama pia maslahi ya taifa. Sasa kama hao TBC wameona maslahi ya Taifa ni kipindi maalum cha Rostam wakaacha Orodha ya Mafisadi na wakakwepa kurusha session contraversial za Bunge tena kwa kuzikatisha kati kati then hatupaswi kuwaacha hao Tanzania Broadcasting Corruption(TBC). Tido anatumiwa!
Asha
TBC OYEEEEEEEE.....!
ONA WANVYOKUGWAYA, ENDELEZA KUTOA HABARI ZA UHAKIKA NA ZENYE UHAKIKA......!
HAWA WATAUWA VIZABIZABINA WASIOITAKIA MEMA TANZANIA YETU....! mimi hupenda kusikiliza na kuangalia TBC kwa habari za uhakika na zenye tija.....!
Pata habari motomoto kutoka kwa wahusika na si POROJO, UVUMI NA MINONG'ONO KUTOKA REDIO MBAO ZINAZOISHIA MAGOMENI.....!
ukiona wanakuandama jua kuwa wameona juhudi zako........!
KEEP IT UP TBC.....!
safi sanaTBC OYEEEEEEEE.....!
ONA WANVYOKUGWAYA, ENDELEZA KUTOA HABARI ZA UHAKIKA NA ZENYE UHAKIKA......!
HAWA WATAUWA VIZABIZABINA WASIOITAKIA MEMA TANZANIA YETU....! mimi hupenda kusikiliza na kuangalia TBC kwa habari za uhakika na zenye tija.....!
Pata habari motomoto kutoka kwa wahusika na si POROJO, UVUMI NA MINONG'ONO KUTOKA REDIO MBAO ZINAZOISHIA MAGOMENI.....!
ukiona wanakuandama jua kuwa wameona juhudi zako........!
KEEP IT UP TBC.....!
MICHUZI BLOG -ANAVUKA MIPAKA KWA HABARI ZA UCHOCHEZI HUYU-NINA MPANGO WA KUMRIPOTI GOOGLE