analysti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 729
- 612
Ukifuatilia taarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC1, utakutana na tangazo "mpenzi mtizamaji yuma maoni yako kwenda namba fulani hivi, na maoni yako yatarushwa katika live kwenye taarifa hii ya habari". Ndugu wana JF namba hii unayo tuma hayo maoni ni zile namba ambazo unakatwa hela zaidi ya gharama ya meseji ya kawaida!!. Mara nyingi hutumika katika baati nasibu na huduma nyingine ambazo huu utaratibu huwa kama ndo njia ya kukusanya malipo yake. Sasa TBC hupokea hizi meseji kutoka kwa watanzania(poor people) wasioelewa huu utapeli na kisha husomwa meseji tatu nne hivi!!!. Sasa kama TBC wanaendesha bahati nasibu ni bora wawatangazie kabisa watanzania kwamba ukibahatika meseji yako itasomwa na watangaze na hiyo gharama ya meseji!!.