'..................Ninafahamu vizuri shida mnazopata kina mama, kwa sababu mama yangu amenisomesha kwa kuamka saa 11:00 alfajiri kwenda soko kuu kununua mboga akifukuzwa na mgambo wa halmashauri ili apate fedha za kunisomesha, leo hii ni mgonjwa wa kifua kutokana na baridi, mvua na jua kali.........' Nassari
Imenifanya nilie,
Huwa napigania sana mbuge amabye ni mkazi wa eneo husika. Ona Ndesamburo, shida zilizopo Moshi ni zake, anaziona day in day out, hasimuliwi.
Yani yuko in touch na hali halisi.
Sio kwamba ana majibu yote, bali atakuwa na feelings za ukweli na pain, na struggle itakayokuwa inafanyika.
Arumeru mkimkosa huyo dogo tutawapeni pole miaka mingi sana ijayo.
Imenifanya nilie,
Huwa napigania sana mbuge amabye ni mkazi wa eneo husika. Ona Ndesamburo, shida zilizopo Moshi ni zake, anaziona day in day out, hasimuliwi.
Yani yuko in touch na hali halisi.
Sio kwamba ana majibu yote, bali atakuwa na feelings za ukweli na pain, na struggle itakayokuwa inafanyika.
Arumeru mkimkosa huyo dogo tutawapeni pole miaka mingi sana ijayo.