rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Watanzania waishio nje ya nchi wametoa malalamiko yao kwa uendeshaji wa kibabe wa Tbc kuzima matangazo yao ambayo walikuwa wanayapata kwa njia ya Satelite
Tbc imekuwa kama ni Shirika la ccm kwa kuficha maovu yanayofanywa na ccm na Wabunge wao hasa upuuzi mzima unaondelea Bungeni na kutazamwa na Watanzania waishio nje ya nchi
Chadema tunaomba mchukue nchi mfungulie matangazo ta television yetu yatazamwe na Watanzania waishio nje ya taifa letu
tabia ya ubinafsi na chuki ya serikali hii ya waovu ina mwisho wake
Tbc imekuwa kama ni Shirika la ccm kwa kuficha maovu yanayofanywa na ccm na Wabunge wao hasa upuuzi mzima unaondelea Bungeni na kutazamwa na Watanzania waishio nje ya nchi
Chadema tunaomba mchukue nchi mfungulie matangazo ta television yetu yatazamwe na Watanzania waishio nje ya taifa letu
tabia ya ubinafsi na chuki ya serikali hii ya waovu ina mwisho wake