chademaistheway
Senior Member
- Aug 18, 2010
- 100
- 86
Hivi kuna mtu kamsikia huyu afisa wa TBC kwenye mahojiano ya redio akimjibu muuliza swali kwa nini:
1. Televisheni ya TAifa haiko Clear kama CNN, NTV, AL JAZEERA etc?
2. Kwa nini Tlevisheni ya Taifa haifanyi live stream kama tv za Kenya na kwingineko
Majibu kaambiwa kuwa hatujui na hatuna uwezo huo
Hivi jamani how hard is it kufanya LIVE STREAM au kupitia YOUTUBE au website ya TBC?
Tazama wenzetu Kenya...
live | NTV
Watch CitizenTV Live! - Citizen TV - Kenya
KENYA BROADCASTING CORPORATION - live streaming video powered by Livestream
https://www.standardmedia.co.ke/ktn/live
hivi inawezekana ikawa tulifanya makosa kumfukuza kazi TODO MHANDO?
tazama AIBU YA NCHI YETU MIAKA 50 BAADA YA UHURU:
Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)
1. Televisheni ya TAifa haiko Clear kama CNN, NTV, AL JAZEERA etc?
2. Kwa nini Tlevisheni ya Taifa haifanyi live stream kama tv za Kenya na kwingineko
Majibu kaambiwa kuwa hatujui na hatuna uwezo huo
Hivi jamani how hard is it kufanya LIVE STREAM au kupitia YOUTUBE au website ya TBC?
Tazama wenzetu Kenya...
live | NTV
Watch CitizenTV Live! - Citizen TV - Kenya
KENYA BROADCASTING CORPORATION - live streaming video powered by Livestream
https://www.standardmedia.co.ke/ktn/live
hivi inawezekana ikawa tulifanya makosa kumfukuza kazi TODO MHANDO?
tazama AIBU YA NCHI YETU MIAKA 50 BAADA YA UHURU:
Tanzania Broadcasting Corporation - (TBC)