Mchome ray
Member
- Feb 22, 2012
- 13
- 1
Nimekuwa nkifualia sana taarifa za habari za TBC(usiku) na nkagundugua kuwa znapendelea CCM.tr 15 na 16 leo katka taarifa ya habar hawaja onyesha kampen za chadema,hii haingii akilini kwani waandishi wameweka kambi ktka jmbo zma,au ndo wanaogopa kung'olewa kama Tido mhando alvyo kataa kustisha mchakato majimboni?kwan ccm wanatabia y watu kupita na uchaguz nna maana uchaguz ukiisha na wewe kazi kwisha.