Komeo
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 2,498
- 1,171
Wakuu, mbona mnaongelea kitu ambacho hamna uhakika nacho? Ni bora tukafanya subira ili tupate ukweli juu ya nini kimetokea. Kwani ni haki ya wananchi kupata matangazo ya bunge. Wabunge tumewachagua kwa kura zetu na hivyo ni vyema tukatumia muda huu wa bunge kupima uwezo wao ili tuamua kama 2015 tuwe nao tena au tuchague wengine wanaotuwakilisha vizuri
Mkuu, tusubiri nini tena wakati matangazo ndo ivo tena yeshakatwa? Wangekuwa waungwana kama wangetoa sababu basi, sasa unaambiwa mtangazaji kasema tu hawatajiunga Dom bila kutoa sababu. Wewe unaona bado wana maana hao?