Me naona hii inaendana na Kauli ya Tendwa ya kutaka kukifuta chama...kwan wanachofanya n kupandikiza chuki kwa wananchi ili kuichikia CDM, kumbuka tume itakuja na majibu ya kua CDM inahucka na kifo, so ataifuta CDM na itakua easy bcoz tiar wananchi watakua wameshapokea propaganda wanazorusha saiz....