Sijafurahishwa na jinsi vyombo vyetu vya habari vinavyochukua matukio uwanjani hasa TBC maana ndiyo ninayoangalia hivi sasa.
Wakati magari ya kivita yakipita sambamba na ndege za kivita, wapiga picha walishindwa kuchukua matukio yote kwa pamoja wakaishia kuchukua picha milingoti ya benbera. Iliwawia vigumu kuhamisha camera toka kwenye magari kwenda kwenye angani kwenye ndege . wakati wa huu wa halaiki naona kama robo tu ya wanahalaiki ndiyo inachukuliwa. This is shame!!!
Nahisi kuna camera mbili tu. Moja imeelekezwa uwanjani na nyingine jukwaa kuu kwa mzee wa kaya. Basi tungeazima za Super Sport walipo kwenye challenge cup angalau kwa hili tukio tu la leo.
Wakati magari ya kivita yakipita sambamba na ndege za kivita, wapiga picha walishindwa kuchukua matukio yote kwa pamoja wakaishia kuchukua picha milingoti ya benbera. Iliwawia vigumu kuhamisha camera toka kwenye magari kwenda kwenye angani kwenye ndege . wakati wa huu wa halaiki naona kama robo tu ya wanahalaiki ndiyo inachukuliwa. This is shame!!!
Nahisi kuna camera mbili tu. Moja imeelekezwa uwanjani na nyingine jukwaa kuu kwa mzee wa kaya. Basi tungeazima za Super Sport walipo kwenye challenge cup angalau kwa hili tukio tu la leo.