mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,236
- 954
NAPE NNAUYE amesema aliwahi kuwa mhubiri na mwimbaji wa nyimbo za Injili kabla ya kujiunga na siasa.
Akitoa salam katika mkesha wa mwaka mpya uwanja wa taifa. Nape amedai kuwa anapata ujasiri wa kupambana na kile alichokiita ufisadi kutokana na imani yake kwa Yesu.
Hata hivyo TBC wanaorusha live tamasha hilo. Walimzimia mbali Nape wakati anaongea na kumrusha mkurugenzi wao Mshana akiwa studio.
Akitoa salam katika mkesha wa mwaka mpya uwanja wa taifa. Nape amedai kuwa anapata ujasiri wa kupambana na kile alichokiita ufisadi kutokana na imani yake kwa Yesu.
Hata hivyo TBC wanaorusha live tamasha hilo. Walimzimia mbali Nape wakati anaongea na kumrusha mkurugenzi wao Mshana akiwa studio.