Kudadeki
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 859
- 52
Unajua kiukweli katika uchaguzi huu ameshindwa ccm,wakaiba kura kutimiza uchu wao wa madaraka na kuwaibia watanzaini,sasa wameanza uongo.Tatizo lao ni wajinga sana hawajui kutathmini mambo,hawaoni mbali ndio maana wanahaingaika na mambo madogo madogo wana hofu kwa dhambi waliyoifanya lazima watunge uongo kwa watanzania lakini hawataeleweka Tanzania hii inajua maovu yao mengi na mbinu chafu.Waseme wanavyotaka kuhusu chadema ila serekali hii inayoingia kwa wizi itajuta,walikuwa wabunge wanne sasa zaidi ya 20.Nguvu inaanzia bungeni,kwenye kutunga sheria,kumpa raisi mamlaka au kumwondolea,sasas wala la tume huru litakapokuwa limewekwa sawa ndio watazinduka usingizini.Walimwita doc Slaa mwehu,mzushi angalia leo keshawaumbua saana.kabaki huyo anayejifanya kupendwa na watanzania wote kila mahali kashinda yeye tu,akawadanganye wajinga wenzie kina makamba na rz1.wizi mtupu!
Sasa kama 50% ya Usalama wa Taifa ulikuwa unaripoti kwa Silaa, kwanini hao 50% hawakuzuia huo wizi? Au hiyo 50% ni ile ya WAMBEYA na UMBEYA tu?
Mkosaji hakosi maneno! :smile-big: