Elections 2010 TBC waandaa wananchi kukubali matokeo, wawachafua CHADEMA!

Unajua kiukweli katika uchaguzi huu ameshindwa ccm,wakaiba kura kutimiza uchu wao wa madaraka na kuwaibia watanzaini,sasa wameanza uongo.Tatizo lao ni wajinga sana hawajui kutathmini mambo,hawaoni mbali ndio maana wanahaingaika na mambo madogo madogo wana hofu kwa dhambi waliyoifanya lazima watunge uongo kwa watanzania lakini hawataeleweka Tanzania hii inajua maovu yao mengi na mbinu chafu.Waseme wanavyotaka kuhusu chadema ila serekali hii inayoingia kwa wizi itajuta,walikuwa wabunge wanne sasa zaidi ya 20.Nguvu inaanzia bungeni,kwenye kutunga sheria,kumpa raisi mamlaka au kumwondolea,sasas wala la tume huru litakapokuwa limewekwa sawa ndio watazinduka usingizini.Walimwita doc Slaa mwehu,mzushi angalia leo keshawaumbua saana.kabaki huyo anayejifanya kupendwa na watanzania wote kila mahali kashinda yeye tu,akawadanganye wajinga wenzie kina makamba na rz1.wizi mtupu!

Sasa kama 50% ya Usalama wa Taifa ulikuwa unaripoti kwa Silaa, kwanini hao 50% hawakuzuia huo wizi? Au hiyo 50% ni ile ya WAMBEYA na UMBEYA tu?

Mkosaji hakosi maneno! :smile-big:
 
:peep:Halafu ukimwangalia huyu marini hassani kama vile shoga,au waungwana bado amjalitambua hilo?huyu jamaaa wanamla kiboga kama sikosei,watangazaji wote wa TBC ni SSM.WANAUZI SANA HAWA WATU.
 
Wanazani watapata uteuzi wa mkwere,kwa hali ya sasa mkwere afanyi tena upuuzi huo.
 
Sasa kama 50% ya Usalama wa Taifa ulikuwa unaripoti kwa Silaa, kwanini hao 50% hawakuzuia huo wizi? Au hiyo 50% ni ile ya WAMBEYA na UMBEYA tu?

Mkosaji hakosi maneno! :smile-big:
Kati ya hao 50% hakuwemo Rashid Othman na genge lake la mafisadi ndani ya uwt.
 
guys, we are takling much. its time for action. we are sure that our votes have been stolen. why should we decide what to do. remember hakuna haki bila damu kumwagika, afterall i have nothing to loose coz maisha ninayoishi ni kama vile nimekufa zamani. amkeni ndugu zangu twendeni tukapambane kwa ajiri ya vizazi vijao, babu zetu walifanya hivyo thus why we upo hapo. amani bila haki ni sawa na bure. angalieni kenya walivyofanya heshima sasa ipo juu. amkeni kumekucha.
 
Back
Top Bottom