Kikao cha bunge tayari kishaanza, ila cha kushangaza mpaka sasa hivi TBC hawajaanza kuonyesha yanayojiri huko.Je, kuna ajenda wanayotaka kuificha wananchi wasiijue au tatizo ni nini hasa? coz tuna kiu ya kujua yanayoendelea mjengoni
nafikiri kikao kinaanza saa nane mchana,..lakini hawa mafisadi wanaweza kugoma kurusha hewani si unajua moto wa cdm
Imekuwa confirmed kuwa kikao kitaanza mchana?
Imekuwa confirmed kuwa kikao kitaanza mchana?
Je, kuna ajenda wanayotaka kuificha wananchi wasiijue au tatizo ni nini hasa?
Yani kila kitu tunakuwa na wasiwasi kweli hii nchi imefika pabaya...Tatizo ni la mitambo beyond human control
TBC tayari wako hewani dodoma mjengoni
Yani kila kitu tunakuwa na wasiwasi kweli hii nchi imefika pabaya...Tatizo ni la mitambo beyond human control