Tbc tv ovyo kabisa! Ni aibu kwa shirika hili la umma.

Heshima kwenu wenzangu! Nimeshindwa kuvumilia hili. Kila wakati ninapoangali taarifa ya habari kama kosa halitatokea kwa mtangazaji kutoa habari zisizopaswa basi anakosea kusoma. Na zaidi ni kutoa coverage ndefu ya ccm as if ni media yake. Aaghhrr!

Achana na TBC si television ya taifa tena, limebaki tu jina baada ya Tido kufukuzwa kwa kulazimishwa kukatisha mkataba wake. Angalia mlimani tv au zingine kama ITV na star tv ni nzuri ingawa zinamilikiwa na magamba.
 
Nimesoma comments za watu wote hapa nimeona nami niseme kidogo kuhusu uwezo wenu mdogo wa kufikiri ninyi wote mliotoa maoni. Kwanza hamkumuelewa mtoa mada arushaone ambaye kifupi hakueleza nini kinamkera zaidi ya kuonyesha hapendi taarifa za ccm kupewa nafasi. Hii nayo ni tatizo. Mfano jk akisema jambo ukatangaza hata kama si mkutano wa ccm utachukia kwakuwa yeye ni wa ccm? Habari ngapi za ccm zimetangazwa hadi ufikie hitimisho la kusema tbc tv haina maana na ni aibu kwa shirika la umma? We sema kwamba unataka habari za cdm zitangazwe hata kama hazina habari mpya.

Kumbuka tbc ni chombo cha umma, hakipaswi kuingia katika malumbano ya siasa, siku chama chama chako kikishinda tbc itatangaza sana habari zake kwakuwa si tu ni chama tawala lakini pia kila kiongozi atakayesimama kutoa tamko ni mwanachama wa chama hicho kitakachounda serikali na ni lazima apate nafasi kwenye chombo cha umma.

Sasa tafakari wewe unayefagilia itv je ni kwa kiwango gani inatangaza habari zenye mrengo wa kitaifa?
Toa tuhuma zenye kueleweka kwa tbc na si kuituhumu kama haitangazi habari za cdm, utakuwa hautendi haki. Haya sasa wewe uliyetaja kwamba tbc ilipaswa kutangaza habari ya waziri kusaini mktaba bila kuusoma, je uliona tv ipi imetangaza? Usihoji kazi ya wanahabari kama wewe hufahamu misisngi ya habari inavyotakiwa kutangazwa.

Mimi nawashauri wanajamii tuwe makini kuunga mkno tuhuma za mtu bila kujua undani wake na pia sababu ya huyo myu kutoa tuhuma, je madai yake ni ya kweli? Na wewe umemuelewa? Kama hapa wengi hawakuelewa wameanza kueleza hisia zao za tangu tido. Sasa hii ndiyo sisi wahadhiri tunaita shalow knowledge which is very poison.
 
Naomba mungu kilasiku aje atokee mtu fulani kichaa aingie mule kwenye mitambo ya TIBIccm halafu akae na kitabu cha quran tukufu. halafu then mlinzi hamkamate na kwa bahati nzuri awe mkristo , akichane na kukidharirisha kitabu hicho.then mtu huyo baada ya kuachiwa aende mbagala akawaeleze tukio hilo. then waislamu mzuka uwapande na waende kwenye kituo hicho wakichome chote kudadeki, MBONA NITAMSHUKURU MUNGU!!
 
Wangekua watu wa kubadilika wangeshabadilika.
wamesemwa sana ila uwezo wao ndo umeishia hapo.
Tido hakua mtumwa ndomana tv ilikua na hadhi.
Mshana anamtumikia kafir apate ujira wake.
Wenye uwezo wa kuibadilisha TBC ni wananchi wenyewe kwa kukataa huu upuuzi kwa vitendo.
 
Ulizeni kama wanapewa hiyo ruzuku mnayolalamikia, wangekuwa wanapewa vizuri hayo makosa yasingeonekama kwasabau wangekuwa na vifaa vya kisasa. Be on side of tbc ujue matatizo yao ndipo uweze kutoa shutuma. Lakini kama nhujui tatizo lao basi usitoe lawama.
 
Ulizeni kama wanapewa hiyo ruzuku mnayolalamikia, wangekuwa wanapewa vizuri hayo makosa yasingeonekama kwasabau wangekuwa na vifaa vya kisasa. Be on side of tbc ujue matatizo yao ndipo uweze kutoa shutuma. Lakini kama nhujui tatizo lao basi usitoe lawama.

Mkuu unatoa utetezi kwa kirefu unalipwa shilingi ngapi hebu jiulize DTV kituo kidogo kinaweza kuonyesha mechi za UEFA wao Tbc wana coverage kubwa wanashindwa kuonyesha japo ligi ya bongo kuna tv hapo.
 
Habari zote za muhimu wameskip wanatangaza mambo ya wagawa rushwa wa ccm wakati kuna watu walisaini mikataba bila kuisoma huko!

Kwanza kutumia kumbi za chuo cha mipango wanalipia kweli hawa? na je cdm wanaweza kupewa hata kwa kulipia?

Taarifa zingine zinasema Heche amewakoromea ccm huko Njombe kwa kutumia magari ya serikali kwenye kampeni, hayo yote wanaona sio news!

Na je M4C inayoendelea huko mikoani haitakiwi kuripotiwa?

TV ya wajinga hii!

Unajua PakaJimmy kuna baadhi ya viongozi wa serikali wanadhani watu bado wana zile akili mgando za chama kimoja kama zamani. Laiti wangejua...............
 
Last edited by a moderator:
Kumbe bado kuna watu wanaangalia televisheni ushuzi kama tbccm, ni bora niangalie cartoon network ntacheka
kuliko kuangalia tbc1
 
Tv sirikali inaitwa ile, naichukia sana, ata sijui programme zake tena, haina lolote, upuuzi mtupu, vipindi vinakosewa, politics za chama kimoja, haina mvuto.....wamebweteka sana, ssipendi tv inayitwa ya taifa
 
Arushaone huu uzi umenikumbusha machungu ya mwezi wa 8 kwani ilinibidi niingie gharama ya kuweka channels za kulipia kwa hasira baada ya kuona wanatoa taarifa za juzi yake. (nalipia mounthly bado). Tv gani inazidiwa hata na tv binafsi? They are NOT creative dunia inaenda huku kwa kasi nao wanarudi kwa kasi.IBINAFSISHWE TU HIYO KAMA ILIVYO KAWAIDA YAO
 
Last edited by a moderator:
Naomba mungu kilasiku aje atokee mtu fulani kichaa aingie mule kwenye mitambo ya TIBIccm halafu akae na kitabu cha quran tukufu. halafu then mlinzi hamkamate na kwa bahati nzuri awe mkristo , akichane na kukidharirisha kitabu hicho.then mtu huyo baada ya kuachiwa aende mbagala akawaeleze tukio hilo. then waislamu mzuka uwapande na waende kwenye kituo hicho wakichome chote kudadeki, MBONA NITAMSHUKURU MUNGU!!

Sindano butu...!
 
Kinachotakiwa ni kuangalia habari za TV Stations ambazo zina objective reporting.

Nadhani hatulazimishwi kuangalia TBC ingawa inaendeshwa kwa kodi zetu kama haitoi habari objectively...
 
i never watch TBC they're boring kwanza, dont trust their news and are not independent...ITV is the best news channel in tanzania right now by far...
 
Nimesoma comments za watu wote hapa nimeona nami niseme kidogo kuhusu uwezo wenu mdogo wa kufikiri ninyi wote mliotoa maoni. Kwanza hamkumuelewa mtoa mada arushaone ambaye kifupi hakueleza nini kinamkera zaidi ya kuonyesha hapendi taarifa za ccm kupewa nafasi. Hii nayo ni tatizo. Mfano jk akisema jambo ukatangaza hata kama si mkutano wa ccm utachukia kwakuwa yeye ni wa ccm? Habari ngapi za ccm zimetangazwa hadi ufikie hitimisho la kusema tbc tv haina maana na ni aibu kwa shirika la umma? We sema kwamba unataka habari za cdm zitangazwe hata kama hazina habari mpya.

Kumbuka tbc ni chombo cha umma, hakipaswi kuingia katika malumbano ya siasa, siku chama chama chako kikishinda tbc itatangaza sana habari zake kwakuwa si tu ni chama tawala lakini pia kila kiongozi atakayesimama kutoa tamko ni mwanachama wa chama hicho kitakachounda serikali na ni lazima apate nafasi kwenye chombo cha umma.

Sasa tafakari wewe unayefagilia itv je ni kwa kiwango gani inatangaza habari zenye mrengo wa kitaifa?
Toa tuhuma zenye kueleweka kwa tbc na si kuituhumu kama haitangazi habari za cdm, utakuwa hautendi haki. Haya sasa wewe uliyetaja kwamba tbc ilipaswa kutangaza habari ya waziri kusaini mktaba bila kuusoma, je uliona tv ipi imetangaza? Usihoji kazi ya wanahabari kama wewe hufahamu misisngi ya habari inavyotakiwa kutangazwa.

Mimi nawashauri wanajamii tuwe makini kuunga mkno tuhuma za mtu bila kujua undani wake na pia sababu ya huyo myu kutoa tuhuma, je madai yake ni ya kweli? Na wewe umemuelewa? Kama hapa wengi hawakuelewa wameanza kueleza hisia zao za tangu tido. Sasa hii ndiyo sisi wahadhiri tunaita shalow knowledge which is very poison.

Usinitafutie ban la maisha tafadhal
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom