Kustaafu= ni kuacha kazi kwa mujibu wa sheria, ama baada ya mkataba wako kwisha au kwa kuomba kutokana na sababu mbali mbali kama za kiafya etc na unapata haki zako. yani huna kazi tena labda kwa mkataba mwengine.
Kujiuzulu= ni kuacha(Dhamana) kwa hiari yako binafs, lakini mara nyingi ni kutokana na kuwajibikam pengine sio kwa kosa lako bali mfn, watendaji wako au kwa sababu za kisheria baadhi ya Nchi kama Japan ukishinda ulicho ahidi kutimiza unajiuzulu, na mara nyingi Mtu hujiuzulu nafasi ya kuchaguliwa, hiyo ni kusema unaweza kujiuzulu uongozi ukaendelea na kazi yako, mafano Kapteni wa timu ya mpira au Dartari Mkuu anaweza kujiuzulu ukapteni akaendelea kuwa mchezaji kama kawaida au daktari akaendelea kutibu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.