JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Wana JF naomba mnifahamishe kuhusu TBC hasa hasa TBC1 kwani nashindwa kufahamu kuwa hii televisheni ni ya taifa au ni ya CCM? Habari zinazohusu CCM zinapewa kipaumbele na zinachukua muda mrefu sana katika taarifa ya habari ya TBC1. Kwa mfano kuhusu hotuba ya katibu mwenezi wa CCM Nape Nnauye akiwa Sumbawanga. Lakini mikutano ya CHADEMA hata haizungumziwi kwenye taarifa ya habari ya TBC1. Naombeni mnisaidie katika hili.