ndg yangu leo niliangalia ili nione kama wataitangaza hii habari baada ya kutoitangaza ile ya Prof. Safari, mbaya zaidi yule dada mtangazaji katangaza kwa mbwembwe uku akionesha wazi ushabiki nakati anajua kuwa ile ni mali ya umma.Ndg yangu huo ndio ukweli wenyewe,TBC ni CCM Kabisa hilo halina ubishi by the way hivi mkuu bado unaitizama TBC kweli kabisa???!mwenzio niiliachana nayo recently after TIDO had left the station.
Wakati kuhama kwa Prof. Safari kutoka CUF kwenda CDM haikuonekana kama ni habari, leo TBC imetangaza kwa mbwembwe kuhama kwa wafuasi wa CHADEMA mkoani mbeya kwenda cha tawala.
wadau ili mnalionaje?