Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Kwa Harrier cc 3000 ambayo ni full time 4WD kutoka Kimara mpaka posta kwenda na kurudi unatumia mafuta ya zaidi ya tsh 20,000/=
Kwa Harrier cc 3000 ambayo ni full time 4WD kutoka Kimara mpaka posta kwenda na kurudi unatumia mafuta ya zaidi ya tsh 20,000/=
masahihisho nimeshayafanya gari ya harrier lexus ni cc zaidi ya 3000 ndilo analoendesha mama slaa ukichanganya na mapouder ya mama slaa wacha kabisa.waangalie viti maalum wa cCHADEMA wanavyoshindana kujipodoa na kuvaaa ma wigi ya UK we galaga baho
CHADEMA TUANZISHENI TV YA CHAMA. TUNAHITAJI PIA KUANZISHA RADIO YA CHAMA. Vp lakini??? Viongozi wa CDM hamlioni hili???Vinginevyo tusilalamikie rafu zinazochezwa na magaaaamba kwa kutumia TBC1 ambayo ni tv ya taifa.Umefika wakati sasa kwa vyama vya upinzani hasa chadema kuwa na vyombo vyao vya habari hasa tv na radio.Mbona ccm wanayo Radio Uhuru.Hakuna cha tbc wala tbc taifa ni ulaghai
Huyo mke wake anafanya kazi gani?kwa hiyo jamaa kadanganya. Anasema 50,000/- sasa kwani slaa anashindwa kununua mafuta hayo kwa ajili ya wife kwenda job?
Harrier ni gari la kifahari! Period.
Rejao ni mpu_zi kweli wewe!! Yani wewe ni maskini wa mawazo na kufikiri,kwa umri wako bado unaamini kuwa Harrier ni gari ya kifahari? Au kwasababu anamiliki Mama Slaa ndio unakuja na hoja zao uharo hapa.Yani na umri wako huo,na watoto wako saba ulionao,na yule mke wako unadiriki kujitokeza kusema kuwa harrier ni gari la kifahari? Tuache siasa majitaka,tuwe tayari kujadili mambo kwa upana wake na kwa utashi.Sio kwasababu anamiliki mtu wa CDM ndio uje na mapovu yako mdomoni unaongea tuuu na kuhara hara hapa JF kama bata...shit!!