masahihisho nimeshayafanya gari ya harrier lexus ni cc zaidi ya 3000 ndilo analoendesha mama slaa ukichanganya na mapouder ya mama slaa wacha kabisa.waangalie viti maalum wa cCHADEMA wanavyoshindana kujipodoa na kuvaaa ma wigi ya UK we galaga baho
kati ya watu hovyo ni wewe. Badala yakujadili maswala unajadili mtu? Shame on u. Mada hapa niuwiano sawa kwa vyama vyote ww unazungumzia mke wa mtu? Huwez kuwa great thinker hata cku moja. Ccm inaona kama ina hati milik na hi nchi ndo maana umekumbatia majengo viwanja ambavyo kabla ya vyama ving vilikuwa mali ya watanzania leo wamevifanya ni mali yao hata tbc wamemuoodoa tido ili waitumie wapendavyo. KIAMA CHAO KINAKUJApoor CHADEMA... WAMEDODA NIWAKATI WA KUFANYA MATUMIZI MAZURI KWENYE RUZUKU SIO KUWANUNULIA MAGARI KINA JOSEPHINE MUMSHUMBUSHU. ANAENDESHA HARIER INA CC 3500.YANI KWA RUTI MOJA KUTOKA POST TO MWENYE MAFUTA YA ELFU 50 YAMEKWISHA
Usitudanganye watu wazima...Gari ya kifahari siyo lazima iwe Audi , BMW, Jaguar, Lexus LS, Mercedes-Benz, VW,Cadillac,Rolls Royce, Bentley, Aston Martin, Maybach, Maserati...soma classes za luxury hapa chini kwa ufahamu zaidi!
Mkuu hapo kwenye rangi nyeusi ulikuwa unamaanisha Posta to Mwenge au? Lakini pia tuache majungu,gari aina ya Harrier wanamiliki watu wa kawaida sana na ni gari ya watu wa kawaida sana.Si gari ya kusema kuwa inagharama kubwa kuimiliki.Mafanyakazi wa umma mwenye mshahara wa kawaida anaweza endesha na kuimiliki Harrier.Wakati mwingine tuache chuki binafsi na watu,kauli kuwa CDM ndio wamemnunulia Mama Slaa gari aina ya Harrier ikitolewa na watu kama wewe hapa JF inatia hasira na huzuni kubwa.Sidhani kama Dr Slaa atashindwa kununua gari ya milioni 16 kama akipenda.Wewe unataka kutuhaminisha kuwa Harrier ni gari la kifahari kitu ambacho si kweli.
poor CHADEMA... WAMEDODA NIWAKATI WA KUFANYA MATUMIZI MAZURI KWENYE RUZUKU SIO KUWANUNULIA MAGARI KINA JOSEPHINE MUMSHUMBUSHU. ANAENDESHA HARIER INA CC 3500.YANI KWA RUTI MOJA KUTOKA POST TO MWENYE MAFUTA YA ELFU 50 YAMEKWISHA
Leo nimeona tofauti iliyokuwepo kati ya chama tawala na vyama vya upinzani kupitia TBC. Katika taarifa zake za jioni hii ya tarehe 19febr 2012 wameonyesha katibu wa itikadi na uwenez ccm N.N, akiwa katika moja ya misa akiwaasa vingoz wa dini kukemea mabaya n.k, na vile vile wamemuonyesha katibu wa vijana ccm taifa ndg Shigela akiwa kigoma akiwaasa vijana kutokutumika na viongozi wa juu kufikia malengo yao binafsi.
Huku kwetu Tanga yupo Naibu katibu mkuu CDM ZITO, mkurugenzi wa habari CDM MNYIKA, pamoja na Mwenyekiti wa vijana taifa CDM bwana HECHE , ambao kimtazmo uzito wao na sawa na viongozi hao wa ccm niliowataja kama sikuwazidi. Hakuna taarifa ya CDM iliyoripotiwa juu yakile wanachokifanya kama vile ambavyo wameripoti kwa ccm.
Je TBC ambayo ni television ya Taifa, inatumia vigezo gani kutangaza habari katika television ambayo wananchi wote tunaichangia ktk uendeshaji wake kupitia kodi zetu? Ni mtazamo tu, tutafakari,
nazani bangi unazovuta zina kupelekesha. Jitu zima limekalia umbea na fitina! Chunga sana kijana ukienda tanga utaolewa bila mahali. Mwehu mkubwaaa
Usitudanganye watu wazima...Gari ya kifahari siyo lazima iwe Audi , BMW, Jaguar, Lexus LS, Mercedes-Benz, VW,Cadillac,Rolls Royce, Bentley, Aston Martin, Maybach, Maserati...soma classes za luxury hapa chini kwa ufahamu zaidi!
- Entry-level luxury/compact executive cars.
- Mid-luxury/executive cars
- High-end luxury/full-size luxury cars
- Ultra-luxury cars
- Luxury SUV/Crossover
View attachment 47690tatizo lenu wana chadema lazima kila kitu mbishane ata kama ni cha kweli kitu icho apotoyota harier cc 3700.anachoendesha mama slaa alafu unasema ruzuku hazitoshi
Kumbe tuna mtaalam wa magari humu, ukiyaona tu unauwezo wa kuelewa kuwa ni cc ngapi! Nyie ndio watu mnaosimamaga posta na kutazama magari na kuanza kujifanya kuwaelezea watu jinsi mnavyo yafahamu! Kifupi, Washamba wa dizaini hiyo, hapa mjini wapo wengi mno!masahihisho nimeshayafanya gari ya harrier lexus ni cc zaidi ya 3000 ndilo analoendesha mama slaa ukichanganya na mapouder ya mama slaa wacha kabisa.waangalie viti maalum wa cCHADEMA wanavyoshindana kujipodoa na kuvaaa ma wigi ya UK we galaga baho
Kwa Harrier cc 3000 ambayo ni full time 4WD kutoka Kimara mpaka posta kwenda na kurudi unatumia mafuta ya zaidi ya tsh 20,000/=Rejao hapo hujaeleweka hasa kwa sisi ambao BMW na MESIDZ BENZ tunaita TAX. Harrier gari inafahamika kwa wengi kwani ziko sokoni tena sana. je, inakunywa kiasi hicho cha posta kimara 50,000/-?
We kunakitu unatafuta, mawigi na siasa wapi na wapi, uchakavu wa sera huomasahihisho nimeshayafanya gari ya harrier lexus ni cc zaidi ya 3000 ndilo analoendesha mama slaa ukichanganya na mapouder ya mama slaa wacha kabisa.waangalie viti maalum wa cCHADEMA wanavyoshindana kujipodoa na kuvaaa ma wigi ya UK we galaga baho
Mbona unakuwa kama MWANAMKE ALIYEOLEWA NDOA YA MITALA!! Josephine kuendesha Harrier has nothing to do with this. Topic ni TBC kuonyesha matukio ya chama tawala na kutoonyesha ya vyama vya upinzani wakati wanatumia kodi ya watanzania wote. Haya mengine anzisha thread yake.
poor CHADEMA... WAMEDODA NIWAKATI WA KUFANYA MATUMIZI MAZURI KWENYE RUZUKU SIO KUWANUNULIA MAGARI KINA JOSEPHINE MUMSHUMBUSHU. ANAENDESHA HARIER INA CC 3500.YANI KWA RUTI MOJA KUTOKA POST TO MWENYE MAFUTA YA ELFU 50 YAMEKWISHA
Usitudanganye watu wazima...Gari ya kifahari siyo lazima iwe Audi , BMW, Jaguar, Lexus LS, Mercedes-Benz, VW,Cadillac,Rolls Royce, Bentley, Aston Martin, Maybach, Maserati...soma classes za luxury hapa chini kwa ufahamu zaidi!
- Entry-level luxury/compact executive cars.
- Mid-luxury/executive cars
- High-end luxury/full-size luxury cars
- Ultra-luxury cars
- Luxury SUV/Crossover
kwa harrier cc 3000 ambayo ni full time 4wd kutoka kimara mpaka posta kwenda na kurudi unatumia mafuta ya zaidi ya tsh 20,000/=