EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Wana JF,
Mtakubaliana na mimi kwa kile TBC walichokuwa wanakifanya kule Arumeru wakati wa kampeni
za ubunge.Mara zote wamekuwa wakijaribu kuonyesha upande mmoja yaani CCm na wakati mwingine
hata kuchanganya picha kuwahadaa watazamaji.Baada ya matokeo kutangazwa wameonyesha wakimhoji mbunge
mteule Joshua Nassari,lakini sijawaona wakimhoji mgombea aliyeshindwa Sioi Sumari.Jana nilikuwa
pale leganga kushuhudia Nassari akiwashukuru wapiga kura na TBC walikuwa mstari wa mbele kuhahikisha
wanapata coverage nzuri.Kama si unafiki ni nini?
Mtakubaliana na mimi kwa kile TBC walichokuwa wanakifanya kule Arumeru wakati wa kampeni
za ubunge.Mara zote wamekuwa wakijaribu kuonyesha upande mmoja yaani CCm na wakati mwingine
hata kuchanganya picha kuwahadaa watazamaji.Baada ya matokeo kutangazwa wameonyesha wakimhoji mbunge
mteule Joshua Nassari,lakini sijawaona wakimhoji mgombea aliyeshindwa Sioi Sumari.Jana nilikuwa
pale leganga kushuhudia Nassari akiwashukuru wapiga kura na TBC walikuwa mstari wa mbele kuhahikisha
wanapata coverage nzuri.Kama si unafiki ni nini?