kipindupindu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 1,053
- 170
hivi TBC wameingia mkataba na Dr Bana?ni mara nyingi sana TBC wanamtumia kama mchambuzi wa mambo ya siasa.ina maana hakuna wasomi wachambuzi wa mambo ya siasa zaidi ya Bana?
mbona magamba kuna wasomi wa kutosha iweje Bana pekee?Magamba Company, kumbuka hilo
mbona magamba kuna wasomi wa kutosha iweje Bana pekee?
uwezo wa kuongea au ?Kama uwezo anao tatizo liko wapi?. Acheni wivu.
Kama uwezo anao tatizo liko wapi?. Acheni wivu.
ndio wasomi tulionao hawa,yaani badala kutoa michango ya kisomi wao wanakalia kujipendekeza na unafiki tu.jamaa always comment zake zimekaa kiwogawoga,..kila anapoongelea ishu kama hizo huwa anamung'unya sana maneno as if kikwete yuko mbele yake,..kwa ufupi jamaa is a coward na comment zake hazipo objective...
halafu mtu mzima kama yule kulamba viatu vya watawla ni aibu,.pamoja na usomi wake hataacha legacy yoyote
shame on you bana..dr????i doubt it very much
hivi ameandika paper ngapi na zimesaidia vipi maendeleo ya jamii yetu?TBC mnachagua watu wenye vitambi au tai pekee??