Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
inasemaje?ilani ya chadema haisemi elimu ni bure hadi form 6.
inasemaje?ilani ya chadema haisemi elimu ni bure hadi form 6.
Kama vile mlogwa vile!!! yaani...
Mkuu TBC hawajakosea kitu kwa sababu kero za wananchi zinavihusu vyama vyote hivyo ni muhimu kila mgombea ajielezee kuhusiana na kero hiyo na ndio maana umeona wagombea wote wamezungumzia zaidi sera za chama badala ya wao wenyewe kuelezea wanachokiona bora zaidi kufanyika kuondoa kero hizo.. Kwa hiyo kinachokuwepo ni Ahadi tupu.Naona kipindi kimeisha but thats my contirbution kwa leo kwa wale ambao hawajaweza kuona kipindi hiki live leo. nadhani wapo walioweza kurekodi huenda wakatuwekea zome clips hapa kuweza kupata ile feeling hasa ilikuwaje
CCM kutoweka wagombea wao wanafanya kosa kubwakwa maoni yangu maana hapa ndio ingekuwa nafasi nzuri ya kuzidiana kisera,
Ila pia sijapenda uulizaji huu wa maswali wa TBC nadhani ile issue ya ubungo bado inawatafuna tafuna nod wamebadili strategy... maswali ingebidi yawe specific kwa kila mgombea bana..
Mkuu TBC hawajakosea kitu kwa sababu kero za wananchi zinavihusu vyama vyote hivyo ni muhimu kila mgombea ajielezee kuhusiana na kero hiyo na ndio maana umeona wagombea wote wamezungumzia zaidi sera za chama badala ya wao wenyewe kuelezea wanachokiona bora zaidi kufanyika kuondoa kero hizo.. Kwa hiyo kinachokuwepo ni Ahadi tupu.
Labda tuseme makosa yao yanakuja pale waliposhindwa kugawa maswali ktk safu mbili. Ya kwanza ni mahitaji ya wananchi ambayo wagombea wote wanawajibika kujibu swali moja (Sera na Ilani za chama), kisha nyingine ni maswali ambayo yanayowahusu wagombea in question.. hapo kila swali lingemlenga mgombea kulingana na CV, record yake na ahadi zake (ilani za Mgombea)..
Mara nyingi utaratibu mzuri wa midahalo huwa na watu maalum waliochaguliwa kuuliza maswali yaliyokwsiha tayarishwa bila chama chochote kujua wataulizwa nini, ikisha mzunguko huo inakuja maswali ya wananchi ambapo muulizaji anaweza kuelekeza swali lake kwa mgombea mmoja au kwa wagombea wote..
Hata hivyo, huu ndio mwanzo tunajifunza tutafika tu kuwa makini na wenye kuelewa kwa nini midahalo ni muhimu na maswali ya aina gani huulizwa.
Kama vile mlogwa vile!!! yaani...
Huyu jamaa Mwita namkumbu kipindi akiwa pale udsm, 2005 katika siasa za udsm alikuwa akimuunga mkono Sumaye, kutokana na Sumaye kuchezea mchezo mchafu ndio namuona yupo CHADEMA, baada ya hapo alikuwa amefulia kweli
Mkuu TBC hawajakosea kitu kwa sababu kero za wananchi zinavihusu vyama vyote hivyo ni muhimu kila mgombea ajielezee kuhusiana na kero hiyo na ndio maana umeona wagombea wote wamezungumzia zaidi sera za chama badala ya wao wenyewe kuelezea wanachokiona bora zaidi kufanyika kuondoa kero hizo.. Kwa hiyo kinachokuwepo ni Ahadi tupu.
Labda tuseme makosa yao yanakuja pale waliposhindwa kugawa maswali ktk safu mbili. Ya kwanza ni mahitaji ya wananchi ambayo wagombea wote wanawajibika kujibu swali moja (Sera na Ilani za chama), kisha nyingine ni maswali ambayo yanayowahusu wagombea in question.. hapo kila swali lingemlenga mgombea kulingana na CV, record yake na ahadi zake (ilani za Mgombea)..
Mara nyingi utaratibu mzuri wa midahalo huwa na watu maalum waliochaguliwa kuuliza maswali yaliyokwisha tayarishwa bila chama chochote wala mgombea kujua wataulizwa nini, ukisha mzunguko huo wa maswali inakuja maswali ya wananchi ambapo muulizaji anaweza kuelekeza swali lake kwa mgombea mmoja au kwa wagombea wote..
Hata hivyo, huu ndio mwanzo tunajifunza tutafika tu kuwa makini na wenye kuelewa kwa nini midahalo ni muhimu na maswali ya aina gani huulizwa.
Midahalo hii inawatafuna sana CCM kwa kuisusia kwao. Kwa kuwa TBC ni ya serikali "yao" nasikia kila jitihada zinafanyika TBC1 waifunge. Yule jamaa aliyekuwa mbunge wa Tarime ni MTUPU kwelikweli hata sijui CHADEMA walimteuaje kugombea wakati ule.
Kwa taarifa yako midahalo hii imeshalipiwa na UNDP ili ifanyike na si utashi wa TBC. Bila hivy itabidi waziteme pesa zote mamilioni kwa mamilioni ya dola waliyopewa TBC. Hivyo hawana utashi lazima waonyeshe vipindi hivyo ku justify malipo waliyopewa na ni lazima warushe na hata kidogo vionjo vya mikutano inayoendelea nchi nzima.Midahalo hii inawatafuna sana CCM kwa kuisusia kwao. Kwa kuwa TBC ni ya serikali "yao" nasikia kila jitihada zinafanyika TBC1 waifunge. Yule jamaa aliyekuwa mbunge wa Tarime ni MTUPU kwelikweli hata sijui CHADEMA walimteuaje kugombea wakati ule.