Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Wadau, sasa hivi kuna kipindi kinaendelea cha mdahalo wa wagombea tarime huko
Mgombea wa Chadema anaonekana kushangiliwa sana na wahudhuriaji (Mwita Mwikabe)
Aliyemtangulia (Mwera) amemung'unya tu maneno of course na wa NCCR na UDP
Kama kawaida CCM hawapo ila kwa Tarime, hakuna CCM ninavoona,
wahudhuriaji wengi wamevaa nguo za Chadema
Mgombea wa Chadema anaonekana kushangiliwa sana na wahudhuriaji (Mwita Mwikabe)
Aliyemtangulia (Mwera) amemung'unya tu maneno of course na wa NCCR na UDP
Kama kawaida CCM hawapo ila kwa Tarime, hakuna CCM ninavoona,
wahudhuriaji wengi wamevaa nguo za Chadema