Tbc kwanini mnashindwa kutuonyesha/kutangaza miechi za taifa stars nje ya nchi.

MASIKITIKO

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
959
428
Tangu kuondoka kwa Tido Mhando TBC imeshindwa kuonyesha au kutangaza live mechi za timu ya soka ya Tanzania,inasikitisha sana pamoja na kuendeshwa kwa kodi zetu lakini imekua ikihusika na kutangaza mambo ya Siasa sana
 
Tangu kuondoka kwa Tido Mhando TBC imeshindwa kuonyesha au kutangaza live mechi za timu ya soka ya Tanzania,inasikitisha sana pamoja na kuendeshwa kwa kodi zetu lakini imekua ikihusika na kutangaza mambo ya Siasa sana

Kaka naunga mkono na mguu hoja,tangu kuondoka kwa Mzee Tido TBC imekuwa "Kaputi" kabisa,yaani utafikiri siyo Television ya Taifa bwana,yaani wanapitwa hata na StarTv,yaani ina'bore sana.
 
We must go back to the forest,loaded enough and ready for the battle.Au tùuze nchi bàada ya sensa kuisha tufanye mgawo kila mwananchi achukue chake ajue aendako.
 
Back
Top Bottom