MASIKITIKO
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 959
- 428
Tangu kuondoka kwa Tido Mhando TBC imeshindwa kuonyesha au kutangaza live mechi za timu ya soka ya Tanzania,inasikitisha sana pamoja na kuendeshwa kwa kodi zetu lakini imekua ikihusika na kutangaza mambo ya Siasa sana