Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Hawa jamaa TBC walipewa mtaji mkubwa sana wa kuanzia na vifaa vya kisasa kuliko sector binafsi inayounga unga lakini ipo na hakuna aliyeomba mtaji.
Kama walichopewa miaka michache iliyopita wamepoteza please let them die kwani haitosaidia watamaliza tena like SU zote zilizokufa. Mkiwapa muda mrefu wa kufa si sawa bora wafe haraka sana na wahusika wote waliofilisi wakamatwe sasa manake wapo.
Kama walichopewa miaka michache iliyopita wamepoteza please let them die kwani haitosaidia watamaliza tena like SU zote zilizokufa. Mkiwapa muda mrefu wa kufa si sawa bora wafe haraka sana na wahusika wote waliofilisi wakamatwe sasa manake wapo.